Recent content by MKATHOLIC

  1. M

    Zitto: Nitafanya maamuzi kuhusu hatima yangu CHADEMA mwezi Machi, 2015

    Ushauri wangu kwa zito kabwe,miaka kumi ya siasa zito yatosha.najua utapata maoni mengi sana kutoka kwa wale unaozani wanakupenda kumbe wanakupoteza.achana na siasa za bongo na kama lengo lako lilikuwa kuunda chama,kwa hilo umeferi brother bora uende zako ulaya ukasome na uweze endelea na kazi...
  2. M

    Hivi hawa nao ni wenzetu au ni makenge?

    it is true
  3. M

    Nahitaji msaada wa kimasomo

    Jamani mwenye kitabu cha Bible Knowledge kidato cha kwanza mpaka cha nne naomba anisaidie namna ya kukipata. Nipo Kahama.
  4. M

    Anayoyasema Mkuu wa Kahama kuhusu Mwakata ni ya ukweli mtupu!

    Mkuu wa wilaya ya Kahama ameendelea kupambana na watu wasio penda maendeleo ya kahama kwa kutanguliza masrahi yao mbele. Amekuwa mkuu wa wilaya pekee anaesimamia maendeleo ya wanakahama.Pia amedhibiti wezi na mafisadi wanaotaka kufisadi misaada ya mwakata Kahama. Inauma sana kwani kuna wengine...
  5. M

    Mkutano kujadili Mahakama ya Kadhi: Viongozi wa dini ya Kikristo watoka nje ya kikao

    hii nimeikubali sana,mahakama ya kadhi wapeleke libya.tanzania tuna dini nyingi sana ila muhimili hauna dini.afu nyie waislamu mbona mnalalamika sana?fanyeni kazi acheni uswahili.
  6. M

    Rais Kagame amwalika Rais Kikwete jijini Kigali, Rwanda kwa ziara ya siku moja

    Hii ni kwasababu kilichompeleka kule ni mkutano wa siku moja tu,tena ni kujadili masuala ya kimaendeleo.ila ninyi wananchi mnapenda kukuza mgogoro.hawa wazee wanafahamiana vizuri sana kwani wote ni wanajeshi.
  7. M

    Picha za maafa ya mvua Kahama

    hizi ni baadhi za picha wadau
  8. M

    Mgeja amvimbia mkuu wa wilaya wa Kahama bwana Bensoni Mpesya

    Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga, ndugu Mgeja, amemnyooshea kidole mkuu wa wilaya Kahama ndugu Bensoni Mpesya kwa kushiriki ama kufumbia macho wizi wa vitu vilivyotolewa na wadau kwa ajili ya kuwasaidia wahanga. Hii inauma sana kwani kama itakuwa kweli basi tunamshauri Rais afanye mabadiliko...
  9. M

    Lembeli na ziara adis ababa

    Hilo ni jimbo la maige na si lembeli tafadhari.
  10. M

    Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

    Kept;John komba katungulia mbele ya haki.je tuliobaki ndio tunakiwa kujifunza kutokana na kifo hiki.maana hakuna ajuae saa ya kufa kwake.ila ccm ni pigo kubwa kutokana na mchango mkubwa alioutoa ndani ya chama cha mapinduzi.hii pia ni dalili ya kufa kwa ccm.
  11. M

    Acheni masihara hili ni pigo kwa ccm tena

    Kwaheli kamanda.kwaheli komba,ijapo tulitofautiana kisiasa.mungu ndiye anaejua umeifanyia nini tanzania.
Back
Top Bottom