Recent content by mkataapema

  1. mkataapema

    JamiiForums Tanzania Johnny Depp azikataa pesa za fidia alizoshinda kwenye kesi dhidi ya aliyekuwa mkewe, Amber Heard

    Angekuwa black hiyo kesi hasingeshinda.
  2. mkataapema

    JamiiForums Tanzania Ngorongoro inaangamia, tuache Siasa kwenye ukweli

    Ni kweli kabisa kuwepo kwa wamasai na wanyama Ngorongoro ilikuwa ni kivutio hapo zamani. Lakini kwa sasa idadi ya Wamasai imezidi mno na baadhi ya tamaduni wamebadili. Njia pekee ya kulinda Ngorongoro ni kuwatoa wamasai! Tanzania ina maeneo mengi mazuri sana kuwaweka.
  3. mkataapema

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

  4. mkataapema

    JamiiForums Tanzania Kipande gani safarini huwa unakifurahia uwapo barabarani

    Yaani eneo hilo uwa linanipa stress nikilifikia! Kipande hicho cha ovyo sana halafu kirefu!
  5. mkataapema

    JamiiForums Tanzania Ladies ukipata boyfriend mshabiki wa Arsenal, usimwache

    Kwa kweli sisi niwavumilivu! COYG!
  6. mkataapema

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

    Viva Magufuli! Jino kwa Jino!!
  7. mkataapema

    JamiiForums Tanzania Bukoba: Nyumba za Kiziru zashangaza wengi/ Nshomile nimewanyooshea mikono

    Akifa "bilionea " wa kichaga mtafungua thread ya kuonyesha hayo maajabu. Acha Nshomile wajisifu! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mkataapema

    JamiiForums Tanzania Mada maalum kwa wanandoa

    Aisee! Mwaka na nusu ndoa tupilia mbali!! Ila ni ukweli mchungu! Nakuelewa!! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mkataapema

    JamiiForums Tanzania Nimevunja uchumba rasmi, sitaki tena kuoa!

    Pole sana! lts too little too late!! Jipe muda kutafuta watoto halafu achana na wanawake!! You are too innocent!!
  10. mkataapema

    JamiiForums Tanzania Magari yote Kaskazini ya Tanzania

    Ni ngumu kupata ticket ya basi au ndege kipindi hiki mkoa wotewote ule,sasa hizi sifa za kwamba kasikazini ndo wanarudi kwao peke yao sijui zinatoka wapi? Ni Ushamba unawasumbua!!
  11. mkataapema

    JamiiForums Tanzania NHIF yasitisha huduma na kadi kwa watoto na ndugu tegemezi. Ingawa sanduku lao lipo kimya kimya

    Utegemezi anaosema mleta mada ilikuwa ni kwamba mashirika mengine ilikuwa ni wafaidika ni watu wanne mpaka watano wanaokutegema haijarishi uhusiano wenu ukoje,lakini kwa NHIF wanaruhusiwa mke/mme wazazi,wakwe na watoto wako wanne au wale watoto ambao umeadopt kisheria! So kama alizoea kule...
  12. mkataapema

    JamiiForums Tanzania 2 years on: Tanzania’s Magufuli isn’t a bulldozer. He’s a magician

    Gtjbibb ocoj i iv i
  13. mkataapema

    JamiiForums Tanzania Tabia za wake za watu vyuoni kwakweli zinanikatisha tamaa badilikeni jamani

    Msisahau wake zenu watarajiwa mlioko nao vyuoni au wako sekondari wanatafunwa na vibabu na waume za watu mtaani! Haya mambo ni cycle tu! Usipate stress pambana na hali yako
  14. mkataapema

    JamiiForums Tanzania Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

    Wakiruhusiwa kuoa itakuwa ndo mwanzo na mwisho wa nguvu ya kanisa katoliki! Imagine Padri anaondoka mwezi mzima kuuguza mtoto wake,wakati anakaribia kurudi mke naye kaumwa analazimika kubaki! Huduma za kanisa za kila siku nani atafanya?? Wahitaji kuwa mkatoliki kujua ubusy wa Padri!
Back
Top Bottom