Bila kujali nilikuwa upande wa chama tawala au chama cha upinzani, uamuzi wa kutopiga kura nilifanya kwa sababu, kimantiki, mazingira ya uchaguzi yalishatabiri mshindi.
Katika chaguzi za 2020 na 2025, matokeo yalionekana kutabirika kirahisi sana. Hivyo, kwangu, kwenda kupiga kura kulionekana...