Recent content by mkata uzi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mpira wa Bongo sasa hivi brand kubwa inalipa; Fei anaandaliwa signing fee ya bilioni 4 na mshahara 120M, Okello kacheza nusu msimu tu kauzwa bilioni 2

    Mpira wa Bongo siku hizi unaonyesha wazi: ukijenga brand, fursa na pesa vinafuata. Fei Toto kwenye dirisha hili la usajili, dau la kuvunja mkataba wake lilifika hadi bilioni 3.5. Azam wameamua kumuwahi mapema wakijua amebakiza miezi 6 tu kwenye mkataba na timu zinaendelea kumnyemelea. Kuna...
  2. M

    JamiiForums Tanzania WANANCHI WACHOMA SHAMBA LA MKULIMA MWEKEZAJI MANYARA - MGOGORO WA ARDHI WAHUSISHWA

    Bila shaka usiku huu kuna zoa zoa imefanyika
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ni wangapi hatujapiga kura tangu 2015,

    Wakati mwingine kukaa ndani ni sehemu ya kushiriki mchakato pia, unachosubiri ni wasimamizi wa vituo wabandike matokeo, viongozi watangazwe, maisha yaendelee
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ni wangapi hatujapiga kura tangu 2015,

    Bila kujali nilikuwa upande wa chama tawala au chama cha upinzani, uamuzi wa kutopiga kura nilifanya kwa sababu, kimantiki, mazingira ya uchaguzi yalishatabiri mshindi. Katika chaguzi za 2020 na 2025, matokeo yalionekana kutabirika kirahisi sana. Hivyo, kwangu, kwenda kupiga kura kulionekana...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Haitoshi kulipenda gari lichunguze linachukuliwaje na jamii, kuna magari ambayo yamejipatia umaarufu kutumika na watu tofauti na ulivyo

    Toyota IST, Raum, - Moja kwa moja unaonekana ni mtu unaebana sana pesa hasa kwa ufinyu wa bajeti, kama huna taabu kuonekana hivyo si mbaya ila ndivyo utavyochukuliwa Sienta - Ni gari zilizojizolea umaarufu kupendwa kutumika na slay queens wa mjini Toyota Altezza - Ni gari za vijana wadogo...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wenye biashara za hotspot mnapoteza wateja na pesa kwa kununua vifaa feki au kuwapa kazi kina fundi Maiko, Hii wifi ya 3 nakutana na shida ile ile

    Hata uminye continue inakupeleka kwenye mambo ya certificates, ni mpaka uminye options na uminye tena continue to unsecure site, Mtu mwenye uelewa mdogo hawezi hizi steps, mfumo unaotakiwa ni kuredirect kifaa kinacho connect wifi moja kwa moja kwenye billing page
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kama leo ungekuwa ndio unatimiza miaka 26 ungefanya nini?

    At 18 hadi 26 ni muda wa kujaribu na kujifunza mambo mengi, at 27 ni muda ambao inabidi uwe umeshajua cha kufanya kwenye maisha yako uanze hata kwa kiasi kidogo ila uwe umeshajua cha kufanya, ni jambo la hatari kama bado huna hata cha kukuingizia kipato Wahi haraka kutafuta cha kukufanya...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wenye biashara za hotspot mnapoteza wateja na pesa kwa kununua vifaa feki au kuwapa kazi kina fundi Maiko, Hii wifi ya 3 nakutana na shida ile ile

  9. M

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wanazikusanya za kutosha kwa hofu ya Rais ajae kukaza vyuma. Kuna Mabilionea under 40 wengi sana

    Hakunaga open season ya wote hata uende Marekani, huwa ni kwa wenye nafasi, connections, n.k.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Soko halina huruma. Kwa huu mlipuko wa biashara ya Wi-Fi, tunakoelekea internet itaanza kuuzwa sh 200, huku Serikali ikianzisha vibali na kodi mpya

    ingia mitandao ya kijamii andika biashara ya hotspot Sikuhizi wanaofunga wapo wengi
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wanazikusanya za kutosha kwa hofu ya Rais ajae kukaza vyuma. Kuna Mabilionea under 40 wengi sana

    Its open season wakuu, Vijana wafanyabiashara under 40 wanazidi kuzitusua, kiwango cha matajiri under 40 hakijawahi kuwa kikubwa kama sasa. By hook or crook vijana wanazikusanya chap chap mapema sana , time is ticking, time imekuwa money Idadi ya magari yenye private plats inazidi kuwa kubwa...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza Klabu za Tanzania zinaenda kumlipa mchezaji wa ndani milion $ signing fee, Muhindi kashikwa pabaya. hana budi kucheua mapene.

    Huwezi kuelewa kama hujawahi kulinda honour yako mkuu. Huwezi kunielewa kama hujawahi kulinda mipaka ya shamba lako. Kuna vitu vingine mtu analazimika kuvifanya hata kama haviko kwenye mipango yake, hata kama havipendi, hata kama vitamgharimu, ni kwa sababu analazimika kulinda heshima yake.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza Klabu za Tanzania zinaenda kumlipa mchezaji wa ndani milion $ signing fee, Muhindi kashikwa pabaya. hana budi kucheua mapene.

    too late, kwa hesabu za kutuliza hali iliyopo kwa sasa hana budi kutoa pesa, hata kama hapendi.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza Klabu za Tanzania zinaenda kumlipa mchezaji wa ndani milion $ signing fee, Muhindi kashikwa pabaya. hana budi kucheua mapene.

    Thamani ya chezaji ina vitu vingi sana, Fei ni brand kubwa Umri mahitaji ya mashabiki ushindani wa klabu zinazomhitaji uzoefu wake mchango wake kwenye team alizochezwa ukubwa wa brand yake Timu anayochezea mkataba alionao uhitaji wa nafasi anayochezea uzoefu Discipline Negotiation power n.k...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza Klabu za Tanzania zinaenda kumlipa mchezaji wa ndani milion $ signing fee, Muhindi kashikwa pabaya. hana budi kucheua mapene.

    akileta ubahili GSM anamaliza kazi, atajishusha sana hadhi ya kujiita tajiri Kawekwa pabaya sana, atamnunua fei HATA KAMA ITAMUUMA !!
Back
Top Bottom