Recent content by mkata uzi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mchengerwa kuwa waziri mkuu

    Hakuna linaloshindikana, kwa katiba tuliyonayo kuna mstari mwembamba sana kati ya Rais na Mfalme / Malkia
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kenya waanza kutimua wageni, dunia imebadilika, ubinafsi, roho mbaya vonazodi kututenganisha

    Hata hapa kwetu tunapiga kelele kuhusu Afrika kusini ila hata kwetu deep down wageni wanapigwa vita, mwaka jana kulikuwana kampeni nzito ya kuwatimua kariakoo,
  3. M

    JamiiForums Tanzania Migomo ya daladala, Bajaji haziibi wateja ila ni daladala kutumia muda mrefu kujaza abiria, Bajaji inatumia dakika 20 tu, Daladala saa zima

    Muda ni wa thamani sana, abiria huona ni bora kulipia 1500 ya bajaji kuliko buku ya daladala, safari ni ile ile lakini bajaji itatumia dakika 20, daladala saa zima
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kuna ukweli kwamba maiki huwa zinaweza kuwekwa sumu au dawa zinazoweza kuachiwa kwa remote na kumuathiri mtumiaji jukwaani ?

    haya mambo yapo kweli au ni story za mtaani ?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Uwepo wa baba humwekea mtoto wa kiume mipaka katika maamuzi mengi. Baba akiondoka, wengi huonyesha rangi halisi, huamua bila kusita wala kujificha.

    familia nyingi, baba huonekana kama mtu anayesimamia nidhamu, mwelekeo na usalama wa familia. Hata pale ambapo hatumii nguvu wala maneno mengi, uwepo wake pekee unaweza kuwa ujumbe kwamba kuna mipaka ambayo haipaswi kuvukwa. Kwa mtoto wa kiume, jambo hili linaweza kuwa muhimu zaidi anapokua na...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Siamini kauli ya keki ni kubwa kwajili yetu wote kwenye biashara yenye ushindani, Biashara ni vita !!

    “Keki ni kubwa kwa ajili yetu wote.” Si amini. Kwenye biashara, kila mtu anataka kuongeza market share. Kila mtu anataka scale. Kila mtu anataka wateja wengi zaidi, branches nyingi zaidi, revenue kubwa zaidi. Wateja wako kuhamia kwao ndio mafanikio ya kibiashara kwe wengine Kuna muda...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    Nidhamu ni kitu muhimu sana, bila nidhamu utafunzwa kwa uchungu wasanii na wanamichezo waliopiga pesa ila wakakosa nidhamu ni mifano
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    Maisha ya kustaafu umeamua kutulia mkoani unaweza usitoke nje ya mkoa hata kwa miaka mitano, ndege ya nini sasa 😀 ikitokea emergency huwezi kukosa 10 million ya kukodi private matumizi yako hata yawe milioni 10 kila mwezi utaweza kuishi vizuri tu ila cha muhimu hela iwe na kinga ya kupunguza...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    Huyo maisha yake kashaamua yawe ni pesa, money in his mind, his mind is on the money.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    Labda wewe ujione mjinga, nchi zilizoendelea, kuna kitu inaitwa FIRE (Financial Independence, Retire Early) Watu wana jiwekea mikakati ya ku retire mapema wakiwa na 40, cha muhimu pesa tu za kuwa sutain waishi maisha flani mazuri hadi uzee.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    Elon hawezi kununua kampuni kama Microsoft, Google, Apple, n.k. Aliweza kununua twitter lakini hizi kampuni zina thamani kubwa kuzidi utajiri wake
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    Lazima kutakuwa na kitu ambacho hutaweza kununua kwa pesa uliyonayo, ni jambo la kuweza kuishi ndani ya kipato chako na bilioni 10 ukiwa nayo hata ukiishi kwenye nyumba ya milioni 500 mbona poa tu.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    There is always gonna be a thing your money cant buy, hata Elon ni tajiri na kuna kampuni kama Twitter aliweza kuinunua lakini hana pesa ya kuinunua google, microsoft, apple, n.k. ila 10 Billion doesnt sound that bad kustaafu haso za bongo especially ukishafika 40
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    10 Billion haifikii hata 5 million dollars Amini kwamba kuna vijana hata wa 90s wanazo Achana na hawa wasanii, kuna vijana wapo just quiet lakini pesa wanayo Madini - nchi imejaa madini hii na yanatajirisha wengi, shida ya watu wengi wa huku nidhamu ya pesa ni zero, wanatumia pesa bila...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    Ama kweli tunatofautiana. 😂 Kuna watu tayari wamevuka utajiri wa bilioni 10 zisizo na minyororo ya madeni, lakini bado haziwatoshi. Wengine tukizipata hizo bilioni 10 tu, tunastaafu mapema kabisa. Biashara zenyewe hizi kwetu wabongo kama mnavyojua ukishatangulia warithi wanachowaza ni kuziuza...
Back
Top Bottom