Zinaweza kujengwa kwa misaada ya nje lakini zikishajengwa wanaoziendesha na kunufaika ni watanzania wa asili.
Taasisi kama Agha Khan hao ni chuo hospitali private, hao kina Agha Khan ni biashara ya familia, ni mabilionea
Pia fuatilia vyuo kama CuoM kimejengwa na taasisi za kikristo za hapa...
Kwako tatizo lipo wapi taasisi ya kikristo ya nje ikijenga chuo au hospitali Tanzania ? Ni sawa na nchi za kiarabu zikitoa misaada wala hakunaga shida, huwa kuna misaada wanatoa mfano makontena ya tende, watu wanafuturu wanashiba, maisha yanaendelea.
Angalia mradi una faida gani usiangalie...
Nakumbuka enzi hizo tukiwa shuleni kuna mwezetu alikuwa anajua kunyoa
yani ukiwa rafiki au chawa wake una uhakika wa pepsi na maandazi 😁😁
Baada ya kumaliza chuo alikuwa na ofisi yake hakosi 40 kwa siku huku wengine wapo bize kujitolea maofisini, wengine wameajiriwa madukani na viwandani kazi...
Likizo ya June inakaribia, watoto watakuwa nyumbani kwa wiki kadhaa hadi mwezi. Swali la kujiuliza ni hili: Je, unamjengea mtoto uwezo wa kuishi na kujitegemea au unaendelea kuamini kwamba kumnoa kwenye ufaulu wa darasani pekee utamtoa kwenye changamoto za maisha?
Ukweli mchungu ni kwamba...
Hakuna biashara ya kijinga kama ina faida. Ukiona biashara imeweza kuendesha mabasi 50 yenye thamani ya Tsh 300,000,000 kila moja, hapo tayari kuna mtaji mkubwa na mfumo unaofanya kazi.
Halafu huyo Sumry alikuwa peke yake kwenye hiyo sekta? Ushindani uliongezeka akaona yeye ahamie kwengine...
Majibu yako yameshaonesha umekiri kukubali hoja yangu kiasi kwamba umekosa mifano hadi umerukia kwa wahindi na waaarabu.
Gharama za kujenga hospitali mpya ni kubwa sana, Serikali iliona kama kuna hospitali za taasisi za kidini zinazotoa huduma nzuri na bajeti ni finyu ni bora zaidi kuwekeza...
Hii ni nchi huru unayoweza kutoka mkoa flani kwenda mkoa mwengine bila kizuizi, maendeleo binafsi hayaangalii umetoka wapi, Mfano mdogo tu DSM walioshikilia masoko wametokea mikoa mingine ambayo ipo nyuma kimaendeleo, sio wenyeji.
Suala la maendeleo ya mkoa yanaangalia zaidi huduma za kijamii...
Yes kuna wachaga waislam ila percent yao ni ndogo sana nahis ni 3% tu
Na hayo mabasi niliyoweka ni partial list, bado yapo ya ziada
Pia nje ya list hio ya mabasi ya wachaga ambao percent kubwa ni wakristo, bado ukifuatilia wamiliki wengi wa haya mabasi kutoka makabila mengine ni wakristo kina...
Unazungumzia Arusha ipi hio ?
Arusha wakazi wake wengi ni wameru, warusha, wachaga, wapare, wambulu ambao kwa percent kubwa ni wakristo
Lakini pia wapo warangi kama kina Dogo Janja, na wengi wao ni waislam, wana mitaa waliyojaa kama Ngarenoro,
Jiji la Arusha hasa center linaendeshwa na...
Acha kuongelea maji yaliyomwagika hayawezi kuzoleka, ongelea present, Kariakoo imeshikwa na hao uliowataja na wengi wao ni wakristo haina mjadala
Mabasi
1
mtei exp ni ya mchaga anAitwa mtei
hai exp ya mchaga
hapy nation ya mchaga
Osaka raha ya mchag
princes muro ya mchaga
machame safar,
lim...
Katika baadhi ya familia, baada ya wazazi kutengana au kutoshirikiana moja kwa moja katika ndoa, huibuka mifumo ya malezi kama co-parenting, au mtoto kubaki na mzazi mmoja huku mwingine akihusika kwa zamu au kwa mipango maalum ya kumlea mtoto.
Kwa mtazamo wa kitaalamu wa malezi, changamoto...
Wala sio big deal kulea mtoto asie wako, hio shida ipo kwa wanawake.
Shida inapoanzaga ni mtoto hasa akiwa wa kiume kuwa protective sana kwa mama yake pamoja na mbaya zaidi kama mama yake mswahili atamjanza maneno ya sumu akuone vibaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.