Ni kazi ngumu sana kuna muda fundi anaanza kumtania saidia fundi mke wake kwasababu kila anachomtuma lazima akifanye, ila kuna mfundi wengi walianzia kwa kazi hizo then baadae waka upgrade
Nahitaji kumuhamisha kijana wangu shule
Kuna option 2
Shule ya Boys, wavulana tupu, huwa inashika top 3 kimkoa,
Shule ya mchanganyiko, huwa imo nafasi ya 4 hadi ya 7 kimkoa,
Tunapofanya maamuzi ya kujaza mafuta kwa magari yetu ya petrol, mara nyingi tunakuwa confused; tunajiuliza “nipi mafuta bora kwa gari langu?” kna vituo vina petrol 91%, wengine 93% engine 95%
Nitatoa mifano ya makampuni mawili makubwa:
TOTAL – Hawa wana mafuta ya petrol yenye 95% octane...
Sio kwamba mtu lazima aende kila siku, lakini mara nyingine watu hupitia hotelini, lounge, bar au pub.
Huko, hata kwa kunywa vinywaji vichache tu, hupatikana nafasi nzuri ya kukaa pamoja, kupiga stori za aina mbalimbali, kujuana, na kubadilishana mawazo bila kujali hali ya kiuchumi, vyeo, dini...
Mkuu naomba uingie ndani kidogo kama hutojali
So kwanini hutumii total moja kwa moja au puma moja kwa moja kwa safari zote za town na masafa ? maana naona umesifia kampuni zote zipo vizuri
vipi ukitumiaga total mizunguko ya town au Puma masafa,
Personally nipo puma but i am curious kuwajaribu...
hizo nafasi sikuhizi karibia kila mkoa wapo
Mfano sikuhizi JWTZ vyeo vingi vya juu utawakuta watu wa mikoa mingine tofauti na tulivyozoea zamani
Mkuu wa sasa ni Mgogo wa Dodoma, aliepita ni Msukuma, Aliepita ni Mnyakyusa
Chief of Staff Mzanzibari
mkuu wa intelejensia ndani ya jeshi ni yule...
Sawa kwa sasa sio kijana tena, kwa sasa ni shangazi mkubwa mwenye biashara zake, muziki sio sana, halafu kitu kingine Jide ana asili ya huko kakulia Dsm.
weka list ya vijana wa sasa under 40, kama hawapo basi ukubaliane na post yangu kwamba mkoa huo ni moja ya mikoa ambayo haina vijana maarufu...
Kuna hali ambayo imeanza kuonekana ya kawaida, lakini ndani yake kuna maumivu ya kimya. Mnajuana mitaani, mnacheka pamoja, mnafanya biashara au kazi sehemu moja, mnaabudu pamoja kanisani au msikitini, au hata ni ndugu, jamaa na marafiki halafu kuna “group” linaanzishwa, lakini wewe huingizwi...
kuna tetesi hata hii chat gpt ina mkono wa Israel,
hii video inaonyesha logo mbili za chat gpt zikigeuzwa na kuungwa kuna alama ya nyota ya kwenye bendera ya Israel
https://www.youtube.com/watch?v=YCBfAibDiuU
Hiyo kauli ni ya juu juu sana, reality ya ground iko tofauti kabisa.
Viongozi wa Iran wanazungukwa na mifumo ya ulinzi wa kiwango cha juu sana hata unapowaona wapo wenyewe. wanalindwa na vikosi maalum (elite commandos), ulinzi wa tabaka nyingi na teknolojia za hali ya juu za kuficha na kulinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.