Recent content by mkata uzi

  1. M

    UONGO WA KARNE: "Pesa Haiwezi Kununua Furaha" Neno la Kujifariji La Masikini na Kukaririwa na Wasomi

    Wakikwambia Dunia ni mapito. tutaviacha vyote pesa, magari, majumba, n.k. Waaambie lakini hakikisha vinakupitia kabla hujaviacha 😎 Madako yenu
  2. M

    Vijana kufanya kazi ya saidia Fundi mwisho mwaka mmoja tu zaidi ya hapo unatakiwa uwe fundi au uachane nayo

    Ni kazi ngumu sana kuna muda fundi anaanza kumtania saidia fundi mke wake kwasababu kila anachomtuma lazima akifanye, ila kuna mfundi wengi walianzia kwa kazi hizo then baadae waka upgrade
  3. M

    Msaada kwenye tuta, nimuhamishie kijana wangu wa form 1 shule ya boys au mchanganyiko ?

    Nahitaji kumuhamisha kijana wangu shule Kuna option 2 Shule ya Boys, wavulana tupu, huwa inashika top 3 kimkoa, Shule ya mchanganyiko, huwa imo nafasi ya 4 hadi ya 7 kimkoa,
  4. M

    Nje ya Dar, majiji mengine yana nafuu kwenye dating na kupata wife material ?

    Mwanza ? Arusha ? Mbeya ? Iringa ? Dodoma ? Hali ipoje hayo majiji,
  5. M

    Huwa unajiuliza ujaze mafuta ya petrol ya aina gani na kituo gani ? Soma uzi huu uyajue mafuta sahihi kwa gari yako

    Tunapofanya maamuzi ya kujaza mafuta kwa magari yetu ya petrol, mara nyingi tunakuwa confused; tunajiuliza “nipi mafuta bora kwa gari langu?” kna vituo vina petrol 91%, wengine 93% engine 95% Nitatoa mifano ya makampuni mawili makubwa: TOTAL – Hawa wana mafuta ya petrol yenye 95% octane...
  6. M

    Wale ambao huwa hamnywi kabisa pombe maeneo ya makutano kama Pub au Lounge huwa mna socialize vipi baada ya kazi?

    ila hakuna sehemu ambayo inakutanisha watu wa matabaka tofauti na kuwafanya wawe wamoja kama bar.
  7. M

    Wale ambao huwa hamnywi kabisa pombe maeneo ya makutano kama Pub au Lounge huwa mna socialize vipi baada ya kazi?

    Sio kwamba mtu lazima aende kila siku, lakini mara nyingine watu hupitia hotelini, lounge, bar au pub. Huko, hata kwa kunywa vinywaji vichache tu, hupatikana nafasi nzuri ya kukaa pamoja, kupiga stori za aina mbalimbali, kujuana, na kubadilishana mawazo bila kujali hali ya kiuchumi, vyeo, dini...
  8. M

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    watu walishakula kwa urefu wa kamba zao
  9. M

    Ni kawaida unapobadili vituo vya mafuta au aina ya mafuta gari kuwa nzito au nyepesi na kuongeza au kupunguza ulaji wa mafuta ?

    Mkuu naomba uingie ndani kidogo kama hutojali So kwanini hutumii total moja kwa moja au puma moja kwa moja kwa safari zote za town na masafa ? maana naona umesifia kampuni zote zipo vizuri vipi ukitumiaga total mizunguko ya town au Puma masafa, Personally nipo puma but i am curious kuwajaribu...
  10. M

    Nahisi mikoa hii haijafanikiwa kutoa vijana maarufu kitaifa walio chini ya miaka 40

    hizo nafasi sikuhizi karibia kila mkoa wapo Mfano sikuhizi JWTZ vyeo vingi vya juu utawakuta watu wa mikoa mingine tofauti na tulivyozoea zamani Mkuu wa sasa ni Mgogo wa Dodoma, aliepita ni Msukuma, Aliepita ni Mnyakyusa Chief of Staff Mzanzibari mkuu wa intelejensia ndani ya jeshi ni yule...
  11. M

    Nahisi mikoa hii haijafanikiwa kutoa vijana maarufu kitaifa walio chini ya miaka 40

    Sawa kwa sasa sio kijana tena, kwa sasa ni shangazi mkubwa mwenye biashara zake, muziki sio sana, halafu kitu kingine Jide ana asili ya huko kakulia Dsm. weka list ya vijana wa sasa under 40, kama hawapo basi ukubaliane na post yangu kwamba mkoa huo ni moja ya mikoa ambayo haina vijana maarufu...
  12. M

    Inakuaje viongozi wa Iran wanauawa sana, ni kwamba hawawezi kujilinda au wanafeli wapi ?

    kama kwao kufa ni kitu cha kawaida basi hawaitaji hata mabodigadi wala kulindwa na teknolojia
  13. M

    Kuna aina mpya ya kutengwa kwa njia ya kidijitali kwenye magroup, ni kitu nilichogundua kinawumiza wengi

    Kuna hali ambayo imeanza kuonekana ya kawaida, lakini ndani yake kuna maumivu ya kimya. Mnajuana mitaani, mnacheka pamoja, mnafanya biashara au kazi sehemu moja, mnaabudu pamoja kanisani au msikitini, au hata ni ndugu, jamaa na marafiki halafu kuna “group” linaanzishwa, lakini wewe huingizwi...
  14. M

    Inakuaje viongozi wa Iran wanauawa sana, ni kwamba hawawezi kujilinda au wanafeli wapi ?

    kuna tetesi hata hii chat gpt ina mkono wa Israel, hii video inaonyesha logo mbili za chat gpt zikigeuzwa na kuungwa kuna alama ya nyota ya kwenye bendera ya Israel https://www.youtube.com/watch?v=YCBfAibDiuU
  15. M

    Inakuaje viongozi wa Iran wanauawa sana, ni kwamba hawawezi kujilinda au wanafeli wapi ?

    Hiyo kauli ni ya juu juu sana, reality ya ground iko tofauti kabisa. Viongozi wa Iran wanazungukwa na mifumo ya ulinzi wa kiwango cha juu sana hata unapowaona wapo wenyewe. wanalindwa na vikosi maalum (elite commandos), ulinzi wa tabaka nyingi na teknolojia za hali ya juu za kuficha na kulinda...
Back
Top Bottom