Recent content by mkata uzi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Good News!. Yule Shujaa Mwanamke wa Shoka, Shupavu, Chuma na Shujaa wa Chadema, Kamanda Halima Mdee, is Back Ndani ya Nyumba!.

    Kuondoka ruksa Kurudi ruksa Ila foleni utapanga upya kama wageni wengine, sehemu ulipoondoka tayari pana wengine
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Zinaweza kujengwa kwa misaada ya nje lakini zikishajengwa wanaoziendesha na kunufaika ni watanzania wa asili. Taasisi kama Agha Khan hao ni chuo hospitali private, hao kina Agha Khan ni biashara ya familia, ni mabilionea Pia fuatilia vyuo kama CuoM kimejengwa na taasisi za kikristo za hapa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Kwako tatizo lipo wapi taasisi ya kikristo ya nje ikijenga chuo au hospitali Tanzania ? Ni sawa na nchi za kiarabu zikitoa misaada wala hakunaga shida, huwa kuna misaada wanatoa mfano makontena ya tende, watu wanafuturu wanashiba, maisha yanaendelea. Angalia mradi una faida gani usiangalie...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Likizo hii umemuandalia mtoto sehemu ya kujifunza stadi za kazi za kumuandalia ujuzi wa kujiajiri au unaendelea kumkomalia na tuisheni ?

    Likizo ya mwezi wa sita huwa ndefu, Tarehe huwa zinabadilika na kutofautiana kulingana na shule
  5. M

    JamiiForums Tanzania Likizo hii umemuandalia mtoto sehemu ya kujifunza stadi za kazi za kumuandalia ujuzi wa kujiajiri au unaendelea kumkomalia na tuisheni ?

    Nakumbuka enzi hizo tukiwa shuleni kuna mwezetu alikuwa anajua kunyoa yani ukiwa rafiki au chawa wake una uhakika wa pepsi na maandazi 😁😁 Baada ya kumaliza chuo alikuwa na ofisi yake hakosi 40 kwa siku huku wengine wapo bize kujitolea maofisini, wengine wameajiriwa madukani na viwandani kazi...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Likizo hii umemuandalia mtoto sehemu ya kujifunza stadi za kazi za kumuandalia ujuzi wa kujiajiri au unaendelea kumkomalia na tuisheni ?

    Likizo ya June inakaribia, watoto watakuwa nyumbani kwa wiki kadhaa hadi mwezi. Swali la kujiuliza ni hili: Je, unamjengea mtoto uwezo wa kuishi na kujitegemea au unaendelea kuamini kwamba kumnoa kwenye ufaulu wa darasani pekee utamtoa kwenye changamoto za maisha? Ukweli mchungu ni kwamba...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Hakuna biashara ya kijinga kama ina faida. Ukiona biashara imeweza kuendesha mabasi 50 yenye thamani ya Tsh 300,000,000 kila moja, hapo tayari kuna mtaji mkubwa na mfumo unaofanya kazi. Halafu huyo Sumry alikuwa peke yake kwenye hiyo sekta? Ushindani uliongezeka akaona yeye ahamie kwengine...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Majibu yako yameshaonesha umekiri kukubali hoja yangu kiasi kwamba umekosa mifano hadi umerukia kwa wahindi na waaarabu. Gharama za kujenga hospitali mpya ni kubwa sana, Serikali iliona kama kuna hospitali za taasisi za kidini zinazotoa huduma nzuri na bajeti ni finyu ni bora zaidi kuwekeza...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Hii ni nchi huru unayoweza kutoka mkoa flani kwenda mkoa mwengine bila kizuizi, maendeleo binafsi hayaangalii umetoka wapi, Mfano mdogo tu DSM walioshikilia masoko wametokea mikoa mingine ambayo ipo nyuma kimaendeleo, sio wenyeji. Suala la maendeleo ya mkoa yanaangalia zaidi huduma za kijamii...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Yes kuna wachaga waislam ila percent yao ni ndogo sana nahis ni 3% tu Na hayo mabasi niliyoweka ni partial list, bado yapo ya ziada Pia nje ya list hio ya mabasi ya wachaga ambao percent kubwa ni wakristo, bado ukifuatilia wamiliki wengi wa haya mabasi kutoka makabila mengine ni wakristo kina...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Unazungumzia Arusha ipi hio ? Arusha wakazi wake wengi ni wameru, warusha, wachaga, wapare, wambulu ambao kwa percent kubwa ni wakristo Lakini pia wapo warangi kama kina Dogo Janja, na wengi wao ni waislam, wana mitaa waliyojaa kama Ngarenoro, Jiji la Arusha hasa center linaendeshwa na...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Acha kuongelea maji yaliyomwagika hayawezi kuzoleka, ongelea present, Kariakoo imeshikwa na hao uliowataja na wengi wao ni wakristo haina mjadala Mabasi 1 mtei exp ni ya mchaga anAitwa mtei hai exp ya mchaga hapy nation ya mchaga Osaka raha ya mchag princes muro ya mchaga machame safar, lim...
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya mambo ya Co - Parenting, Baby mama, Baby Daddy yanavuruga malezi, badala ya wazazi kulea mtoto, wanashindana kupata attention ya mtoto

    Katika baadhi ya familia, baada ya wazazi kutengana au kutoshirikiana moja kwa moja katika ndoa, huibuka mifumo ya malezi kama co-parenting, au mtoto kubaki na mzazi mmoja huku mwingine akihusika kwa zamu au kwa mipango maalum ya kumlea mtoto. Kwa mtazamo wa kitaalamu wa malezi, changamoto...
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ubaya wa kuwa baba wa kambo ni kwamba kila ukimtazama mtoto wa mwenyewe ndani kwenu unaanza kukumbuka bao la mwanaume mwenzako

    Wala sio big deal kulea mtoto asie wako, hio shida ipo kwa wanawake. Shida inapoanzaga ni mtoto hasa akiwa wa kiume kuwa protective sana kwa mama yake pamoja na mbaya zaidi kama mama yake mswahili atamjanza maneno ya sumu akuone vibaya
Back
Top Bottom