Hata hapa kwetu tunapiga kelele kuhusu Afrika kusini ila hata kwetu deep down wageni wanapigwa vita, mwaka jana kulikuwana kampeni nzito ya kuwatimua kariakoo,
Muda ni wa thamani sana, abiria huona ni bora kulipia 1500 ya bajaji kuliko buku ya daladala, safari ni ile ile lakini bajaji itatumia dakika 20, daladala saa zima
familia nyingi, baba huonekana kama mtu anayesimamia nidhamu, mwelekeo na usalama wa familia. Hata pale ambapo hatumii nguvu wala maneno mengi, uwepo wake pekee unaweza kuwa ujumbe kwamba kuna mipaka ambayo haipaswi kuvukwa.
Kwa mtoto wa kiume, jambo hili linaweza kuwa muhimu zaidi anapokua na...
“Keki ni kubwa kwa ajili yetu wote.”
Si amini.
Kwenye biashara, kila mtu anataka kuongeza market share.
Kila mtu anataka scale.
Kila mtu anataka wateja wengi zaidi, branches nyingi zaidi, revenue kubwa zaidi.
Wateja wako kuhamia kwao ndio mafanikio ya kibiashara kwe wengine
Kuna muda...
Maisha ya kustaafu umeamua kutulia mkoani unaweza usitoke nje ya mkoa hata kwa miaka mitano, ndege ya nini sasa 😀
ikitokea emergency huwezi kukosa 10 million ya kukodi private
matumizi yako hata yawe milioni 10 kila mwezi utaweza kuishi vizuri tu
ila cha muhimu hela iwe na kinga ya kupunguza...
Labda wewe ujione mjinga, nchi zilizoendelea, kuna kitu inaitwa FIRE (Financial Independence, Retire Early)
Watu wana jiwekea mikakati ya ku retire mapema wakiwa na 40, cha muhimu pesa tu za kuwa sutain waishi maisha flani mazuri hadi uzee.
Lazima kutakuwa na kitu ambacho hutaweza kununua kwa pesa uliyonayo, ni jambo la kuweza kuishi ndani ya kipato chako na bilioni 10 ukiwa nayo hata ukiishi kwenye nyumba ya milioni 500 mbona poa tu.
There is always gonna be a thing your money cant buy, hata Elon ni tajiri na kuna kampuni kama Twitter aliweza kuinunua lakini hana pesa ya kuinunua google, microsoft, apple, n.k.
ila 10 Billion doesnt sound that bad kustaafu haso za bongo especially ukishafika 40
10 Billion haifikii hata 5 million dollars
Amini kwamba kuna vijana hata wa 90s wanazo
Achana na hawa wasanii, kuna vijana wapo just quiet lakini pesa wanayo
Madini - nchi imejaa madini hii na yanatajirisha wengi, shida ya watu wengi wa huku nidhamu ya pesa ni zero, wanatumia pesa bila...
Ama kweli tunatofautiana. 😂
Kuna watu tayari wamevuka utajiri wa bilioni 10 zisizo na minyororo ya madeni, lakini bado haziwatoshi. Wengine tukizipata hizo bilioni 10 tu, tunastaafu mapema kabisa.
Biashara zenyewe hizi kwetu wabongo kama mnavyojua ukishatangulia warithi wanachowaza ni kuziuza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.