Je watoto wote huwa wanazaliwa kwenye ndoa?
Hata wanyama pia wanazaa, je huwa wanafunga ndoa?
Tukuulize na wewe Bila wale mababu zako waliozaliana miaka na miaka bila ndoa za kidini. kabla wakoloni hawajaleta africa dini na biblia , je wewe ungekuwepo duniani?
Yaelekea wewe hujui kwamba rais ndie mwenyekiti wa chama cha mapinduzi.
Mwenyekiti wa ccm ana kura ya veto kwenye maamuzi yoyote ya chama cha mapinduzi
Mungu ameshauri watu wasioe / kuolewa ili kuepuka matatizo kwenye kitabu chake kinachoitwa biblia
1 Wakorintho 7:27-28 inasema
Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, wala hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi.
Lakini wale wanaooa au...
Mungu pia ameshauri watu wasioe ili kuepuka matatizo kwenye kitabu chake kinachoitwa biblia
1 Wakorintho 7:27-28 inasema
Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, wala hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi.
Lakini wale wanaooa au kuolewa...
Hello wadau.
Ukweli mimi binafsi sijawai kuona mwanaume wa kiislamu mwenye kipato hata cha milioni moja tu kwa mwezi amefikia miaka 35 bila kuoa. Yaani Kuwa bila mke halali.
Ila nimeona wanaume wa kikristo wengi sana wenye kipato zaidi ya milioni 10 kwa mwezi.. wamezidi miaka 35 ila bado...
Serikali inadharau wakandarasi wazawa na kulipa haraka wakandarasi wa kigeni.
Kina Arab contractor wamelipwa ma trilioni ya pesa haraka haraka. Ila njoo kwa waswahili vile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.