Kweli kwa namna hii hatufiki, nafikiri siku akikamatwa mwizi pale akauawa na wananchi wenye hasira labda management ya mlimani city watabalishisha mfumo wao wa ulinzi.
Uko sahihi kabisa serikalini kila kazi wanataka posho wakati ni majukumu yao na ni hao hao wakikaa kwenye vikao wanatoa maamuzi mabovu, hizo posho isiwe kwa wabunge tu nafikiri secta zote za serikalini
Habari wandugu, kuna kitu kinasikitisha hivi Dar es salaam tena wilaya ya kinondoni hadi leo hakuna umeme ukiuliza utaambiwa wanaleta.
Kuna ndugu yangu anaishi bunju kwenye maeneo ya bunju kulikokuwa na mradi hadi leo hakuna umeme na sasa hivi wameanza kusambaza nguzo lakini kama wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.