Recent content by mkaruka ataja rinu

  1. M

    CCM haina wanachama milioni 13

    Unakwenda kusikiliza kitu gani? Yaani leo Mgombea Urais wa CCM anaahidi kujenga barabara ya lami yenye urefu wa KM 11 halafu unakwenda kumsikiliza. Huo ni uharibifu wa muda wa kunywa bia
  2. M

    GE2025 Mbona Rais Samia anahutubia wafuasi wake akiwa anahema sana, yuko sawa kiafya kweli?

    Yaani kahutubia mikoa mitatu tu tayari keshakata pumzi maana anachanganya sana madesa
  3. M

    Hii mikwaruzano ya ukatoliki na serikali haiwezi kuamsha chuki baina ya wakatoliki na waislam?

    Udini siku zote upo mfano mdogo kuna wanaojifanya wao ndo wenye haki ya kuchinja na wengine haki hiyo hawaistahili
  4. M

    Maskini vyombo vya habari katika mtanziko wote huu hata mijadala hakuna!!

    Suala siyo Kenya bali Wandishi wa Habari wa Tanzania wamekosa muendelezo wa uandishi wa habari. Leo hii nakumbuka wangekuwepo akina Jonson Mbwambo, Stan Katabalo (Bingwa wa habari za uchunguzi) pangechimbika lkn leo hii Wandishi wenyewe ndo hawa hata hawaeleweki wanaandika/wanahitaji nini.
  5. M

    Kwani PolePole alianza kuwa mwana CCM Lini?

    Wapuuzi tu hao wanaohoji umri wa uanachama wa Polepole, wahoji pia akina Mpango, Kabudi, Mkumbo, Katambi, Kafurira nk.
  6. M

    Godbless Lema amlilia Freeman Mbowe kwa waraka mzito

    Mbowe keshamaliza ngwe yake ya uongozi ndani ya chama, mwacheni apumzike na harakati badala yake kijiti mnacho ninyi endelezeni mapambano. Nampenda sana MZee Mizengo Pinda, yupo kimya kabisa keshamaliza nafasi yake kama kiongozi kawaachia wengine waendeleze pale wao walipoishia
  7. M

    Rais Samia itisha Press, ongea na Taifa kutuliza hali ya hewa

    Hana uwezo wa kutuliza hali ya hewa badala yake ndo atazidi kuharibu.
  8. M

    Rais Samia: Ulaya na Marekani hawafanyi vizuri kiuchumi kama sisi

    Hapo kwa Rais tumepigwa, aliwahi kuidanganya Dunia kwamba Mbowe anashitakiwa kwa kesi ya uhaini na wahaini wenzie wameshahukumiwa, hizo taarifa anazipataga kwa nani?
  9. M

    Rungwe ‘Mzee wa Ubwabwa’ alazwa KCMC

    Keshaingia kwenye mfumo huyo
  10. M

    Kusomwa kwa Bajeti leo, Morogoro na Bagamoyo Gesti zote zimejaa tangu wiki iliyopita watumishi wa Serikali wanamalizia mafungua

    Bado tu unapambana na Magu, deal na yaliyopo sasa maana hata ukipambana na Magu haikusaidii
  11. M

    Tetesi: Kumbe Viongozi Yanga Wanatumika Kupoteza Ari ya Upinzani Dhidi ya CCM?

    Sote tunajua chanzo ni nini hadi kufikia hapa leo Yanga anapogoma kucheza, nakushangaa wewe unayetaka kutubadilisha mawazo kana kwamba jambo limeanzishwa na Yanga.
  12. M

    Sheikh: Mwanamke hapaswi kuwa na uongozi wa juu kabisa

    Hakunaga Shehe Mkuu wa Mkoa bali anaitwa Shehe wa Mkoa. Shehe Mkuu ni mmoja tu ambaye ni Mufti wa Tanzania
  13. M

    PreGE2025 Rais wa TLS Boniface Mwabukusi: Ni aibu kesi ya Tundu Lissu kujadiliwa na Bunge la Ulaya. Inaonesha Watanzania wote hamnazo

    Hivi kweli Bunge la JMT lijadili kesi ya Lissu!!! Labda mimi ndo sielewi kwamba ''kama kesi ipo Mahakamani haipaswi kujadiliwa na chombo chochote'' Hata hivyo hilo Bunge la Ulaya aliyewatuma kujadili issue ya Lissu ni nani kama siyo kiherehere chao?
  14. M

    HIKI NDICHO ANACHOFANYIWA GAMBO

    Mbona unatuharibia muda wetu wa maombolezo ya Papa Francicus unaleta taarifa ambayo haieleweki?
Back
Top Bottom