Recent content by MKARASINGA

  1. MKARASINGA

    Tuogope sana kuhusu AI yajayo haya furahishi hata kidogo

    Nafikiri every era will have challenges and since change is inevitable solutions must be available, viwanda vilipoanza kushamiri watu walikumbwa na maisha magum saana maandamano kila kona ya dunia yalifanywa lakini ona Leo kila nchi inatamani kuwa na viwanda ili kuboresha maisha na uchumi wake...
  2. MKARASINGA

    Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

    You are welcome
  3. MKARASINGA

    Tuogope sana kuhusu AI yajayo haya furahishi hata kidogo

    Don't fear changes. Imagine watu walioishi miaka ya 1207 wakirudi si na wao wataogopa kwa yanayoendelea KWA haka ka technology ka sasa.
  4. MKARASINGA

    Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

    Hi, I napenda kusafiri pia, books, movies, old movies and natamani kujifunza lugha ngeni japo umekua changamoto kidogo. I'm 33. Public admin by professional let's have fun and explore into the world of everything since I've got an open mind too.
  5. MKARASINGA

    Tupeane mbinu za kutafuta mtaji au kazi ya kuendesha maisha

    Hapo kabla ya changamoto za kiafrica nilikua vizuri saana. Trust me kosa sio kuoa wala sioni kama gharama za kifamilia ndo zinanizuia nisiendelee.
  6. MKARASINGA

    Tupeane mbinu za kutafuta mtaji au kazi ya kuendesha maisha

    Kusoma unajua Ila kuelewa hujui. Soma upya afu comment yako iendane na swali langu
  7. MKARASINGA

    Tupeane mbinu za kutafuta mtaji au kazi ya kuendesha maisha

    Ulitaka nieleze maisha yote kwenye hoja moja, hata wewe unaonekana kutokunufaika na elimu yako
  8. MKARASINGA

    Tupeane mbinu za kutafuta mtaji au kazi ya kuendesha maisha

    Rejea mada tajwa hapo juu. Mimi ni kijana mwenyewe umri wa miaka 32, nmeoa NINA na mtoto mmoja ndani ya ndoa lakini hapo kabla nikipata mtoto KWA hiyo jumla NINA watoto wawili wote ni wa kiume. Jamani nimepambana sana kwenye umachinga, kuuza chips na hata ukulima lakini kitu nilichokielewa ni...
Back
Top Bottom