Recent content by mkangwa-ema

  1. M

    Ubobezi katika sheria wa Tulia Ackson ni upi?

    Ah post nzuri ,af kasema yy haoni huo ubobezi,,nafkiri kwa post hii,,na mm nitapata wasi wasi juu ya ubobezi huo ambao ndugu zetu wamemtunuku
  2. M

    Magufuli anaiga kwenye ilani ya CHADEMA

    Ndio acha aige mazr
  3. M

    Ikulu na Wizara ya Afya lugha gongana

    Ccm ni ile ile ,,magufuli alisema tanzania ya magufuli ss ile ilikua lugha ya kutongozea ,,tusubiri tuone kama atauweza huu mfumo wa ccm,,cjui !nakuunga mkono sana copenhagen
  4. M

    Kuna faida gani kuwatengea wanawake "Viti maalum" 110 vya ubunge?

    Hao wakina mama ,,hasa wa ccm hua hawana cha maana zaidi ya kuwakanyaga watz maskini kwa kupitisha hoja za kishenzi na miswada kwa ajili ya wakubwa wao waliowaweka
  5. M

    Kuna faida gani kuwatengea wanawake "Viti maalum" 110 vya ubunge?

    Kuna haja ya kuliangalia hili kwa jicho la tatu,,i support vbaki 40 au visiwepo
  6. M

    Edward Lowassa aongea na vyombo vya habari, Amesema hatokubali matokeo ya uchaguzi mkuu

    Kuna watu akili zao ni za kijinga sana ,,cameron na obama wote wanaongoza mabunge yaliyo na majority ya upinzani ,,
  7. M

    Edward Lowassa azungumza na vyombo vya habari, Ailaumu NEC kutoa matokeo yanayompendelea Magufuli

    Kwani ni nn mbona mnaogopa asiongee ccm mnaogopa nn !?
  8. M

    Kuepuka Gharama Zaidi, CCM Waungane Na Lowassa Tu, Tujenge Nchi

    Huu mwaka watalala na viatu ,peoplez,viva lowassa
  9. M

    Kilichojiri Tanga hiki hapa

    Hakuna mzima hata mmoja aliwahi kua rais akatupa maisha kutokana na rasilimali zetu ila sisi ndo hua tunawapa maisha ,ss huyu mgonjwa ndo tunamtaka na tutampa kura kwa sababu anajua shida ya kuumwa ,atatusaidia bila shaka ,Mungu aendelee kumlinda inshallah
  10. M

    Kwanini Edward Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Mabadiliko ni kwa lowassa peke yake hakuna mwingine
  11. M

    Maajabu mengine: Walimu walazimishwa kwenda kumuaga Kikwete Uwanja wa Taifa

    Hii ni htr sana kwa ukuaji wa demokrasia,why do they force ?
Back
Top Bottom