Recent content by Mkandara

  1. M

    JamiiForums Tanzania Dalili ya mvua ni mawingu

    Mimi nauliza, hivi Lissu anapomtaka rais, Makamu na Waziri Mkuu katika kesi ambayo maneno alotamka yeye ndio kiini cha kesi hii, kunahusikaje? 1. Atawauliza walisoma wapi na vyeo walivyopitia? 2. Wamepataje kazi hizo n.k au 3. Walijuaje kama yeye ana mpango wa kusababisha Uasi ndio maana...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wasira: Tukipunguza nguvu za rais nchi haitapata maendeleo.

    Zipi hasa huwa ndio Sifa za mgombea Urais? Unapomchagua mgombea Urais unatazama vitu gani? Tuanzie hapa
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ni mwanasiasa wa kutumia fursa kwa maslahi binafsi

    Wadanganyika tuna sifa moja kubwa UNAFIKI yaani sijui kama Mwenyezi Mungu katujaalia au ni laana. Mtajifunza lini kuwa wakweli wa nafsi na kushukuru pale inapopaswa? Yaani mnakosa hata shukrani, Mbowe kawatoa vyuoni kawaingiza kwenye Siasa mkapata majina leo hii yeye ndio mbaya mpenda sijui...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    Ama kweli Wahaya ni shida! kusema We are Kings, we can't serve people, we are to be served. Inakuondoa katika mjadala huu.. Shukran, umenisaidia kwa maneno ya ushahidi kuwa tuna watu baina yetu wanaofikiri na kuamini tofauti nasi..
  5. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    Sasa inakuwaje tena, wewe ndio unataka nchi yako Bahaya Kingdom toka Tanganyika lakini unadai una baraka za kuishi mahala popote duniani sawa na Wazanzibar wanasema wao wana baraka ya kuishi hata Bara lakini sio Mbara kuishi kwao! Au ndio nyie kina Chosen People? Hii ni taurat ya ngapi maana...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    https://www.facebook.com/share/v/18JrghKBHr/
  7. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    Hii mada nimeandika jana, haya leo msikie mzee wetu Warioba kasemaje? Bofya link iliyopo chini kabisa.. https://www.facebook.com/share/v/1DonJMYyr9/
  8. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    Sasa kama wewe ni Mhaya sijui kwenu kuna Msonge, umefuata nini Dar es Salaam?😂😂😂
  9. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    Shukran kwa mchango wako na nadhani wengine pia wameniuliza maswala yao hivuo nianze na wewe maana kwanza umeniuliza mimi personal maswali kibao ambayo pengine wewe umesahau ama unenisahau. Kifupi sintojibu moja baada ya jingine lakini nikujulishe tu kwamba nimekuwa mchangiaji mkubwa sana wa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    Ukichukua ya Kabila kama ni Utambulisho wako, sasa Utaifa utakuwa nini? Mbona unanirudisha medieval era! Ukisema hivyo basi itakuwa hata dini yako ni Utambulisho, dhehebu lako ni utambulisho, Uhaya wako na ukoo ni utambulisho, Uuume wako ni utambulisho, ndio hayo tuloletewa mpaka tumefika...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    Misingi ya UTU wetu walotuachia waasisi wetu ni yetu sote sio ya rais wa asilimia 98 wala Tundu Lissu! Ni dhamana yetu sote katika Uhafidhina wa Taifa hili. Hizi habari za Liberali dhidi ya misingi hii kurudosha Udini na Ukanda ni Upumbavu ambao mwendawazimu pekee ndio anaweza kuujadili ama...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    Mkuu unajua Historia ya Wakerewe? Msonge hata Wakerewe na Wajita wana Msonge, asili ya watu wote sisi zinafanana. Neno Wabantu linatokana na NTU ambayo maana yake ni Wanadamu.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    Histoeia hiyo umesimuliwa au ulikuwepo? Unavijua vita vilivyotokea baina ya watawala wa hizo states unazodai?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    Mkuu Usidhani miye nazungmza tu bila.kuelewa tofauti za hizo Kingdoms kati ya Waziba, Wakyamutwara na WaIhangiro, sawa kama ilivyo kwa Wasukuma au Wachagga. Huo nduo Ukabila tulopigana kuuondoa nchini, pongezi kwa Mwalimu Nyerere na sera zake za Ujamaa.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    Buhaya na Buganda kama ulivyosema ni kingdom yaani tawala sii asili ya watu hao, isitoshe Buhaya Kingdom haikuwa utawala kwa Wahaya wote!
Back
Top Bottom