Recent content by Mkandara

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hadaa ya mihimili ya serikali

    Katika Sura kama hii nadhani wameweka vema isipokuwa pale kwenye kumpunguzia rais Madaraka sijui abakie na wizara chache za serikali kusimamia. Tukimpunfuzia mamlaka yake tutayapeleka wapi? Hii itatuvuruga na kupata marais wengine pembeni wenye mamlaka ya juu. Ukiwa na Bunge na Mahakama huru...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hadaa ya mihimili ya serikali

    Haya maneno sikutunga mie, yapo kwa maandishi sehemu nyingi, isitoshe mkuu wangu neno Serikali na Dola fasihi yake ile ile, ukitafsiri Serikali utaambiwa ni Dola na Ukitafsiri Dola utaambiwa ni Serikali. Labda ule mhimili wa Serikali ndio ungeitwa Utawala kwa maana ya utelelezaji wa Sheria...
  3. M

    JamiiForums Tanzania PNA: Tuheshimu Mawazo ya Wengine Hata Kama Hukubaliani Nayo!, Simai ni Jasiri, Shujaa, Hoja ya Yuda ni ya Msingi, Asibezwe, Asikilizwe Afafanue!.

    Samahani, hivi wewe mwanzangu umemuelewa? Hizi ni tihuma mbaya sana, maana mimi nimemsikia kama vile anataka watu wachemshe akili zao kumtafuta huyo YUDA. Wazae chuki dhidi yake pasipo kumoa nafasi. Kwa nini asimtaje ikiwa kweli alikuwa na Ujasiri huo? Ingesaidia siku hiyo huyo YUDA angepata...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hadaa ya mihimili ya serikali

    Naona swali limekuwa gumu kujibika kwa sababu Katiba yetu haisemi maneno hayo isipokuwa Ibara ya 4(1-3) inasema Shughuli zote za Jamhuri ya Muungano zitatekelezwa na kudhibitiwa na mihimili hiyo kwa pande mbili za Muungano. Hoja ya msingi hapa ni kujiuliza Serikali ambayo ina Jamhuri ya...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Ni wewe ulosema Chadema ndio ilowafanya GenZ kufanya yale maandamano. Na Uchochezi unao pelekea mauaji yalotokana na Uchochezi huo ni Uhaini. Kuna wakati ni bora kukaa kimya kuliko kusema ukidhani unajenga kumbe unaharibu zaidi. Unakumbuka kwamba ile vita ya Rwanda ilianza na Uchochezi wa yule...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Sina mpango wa Team yoyote wala Chama chochote cha Siasa. Mimi ni PanAfricanism kwa hiyo sikubaliani na CCM, Chadema, ACT na vyama vingine vyote ambavyo vina agenda ya kuligawa Taifa hili. Kama kiongozi wa Chama cha Siasa Mbowe ni mbora zaidi ya Lissukwa sababu Lissu sio Mwanasiasa ni Wakili...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Ok, sasa kwa nini umaamini, Tundu Lissu alibambikiwa kesi ya mtungo?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Kwa hiyo huo Uislam wangu umeingiaje hapa?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hadaa ya mihimili ya serikali

    Hili ni swali kwa wahenga wa jukwaa hili la Siasa. Naomba pia ufafanuzi wake. Ni Sura au Ibara gani ya Katiba ya JMT inayosema hivi: - Serikali ina Mihimili mitatu. 1. Bunge -Parliament 2. Mahakama - Judicial 3. Serikali - Executive
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Kwikwikwi, Kwani miye dini gani vile?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Check out this video, "Ujumbe wa Mbowe kuhusu Maridhiano" https://share.google/DY1zErgIMD3FK0pNh
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Punguza Munkar haisaidii kitu kuboresha hoja zako, utaeleweka badala ya nakusikia! Haya twambie ni gereza gani hilo Tanzania lina mlango wa nyuma?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Kwa hiyo Chadema ndio ilowashawishi wale GenZ kuingia barabarani? Una Ushahidi huo maanake hizi tuhuma nzito ujue?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Mkuu nimekusoma mwanzo mwisho, nidiriki kusema kwamba mengi uloandika ni Hadithi za kusimuliwa hakuna facts. Mfano, Mbowe hakumleta Lowassa, hakuna nukuu yoyote ambayo Mbowe kasema hivyo. Unaunganisha matukio kwa jinsi unavyoamini wewe na sii Facts! Tundu Lissu alisema katika mikutano yote...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Samahani, kwa hiyo unataka kusema kilichotokea October 27 ni nguvu ya Chadema?
Back
Top Bottom