Recent content by Mkandara

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ipi dhima ya miundombinu

    Haina shida kwa sababu nimezoea kutokubaliana na wengi hapa JF toka zamani. Mwisho wa siku huyaona yakatokea mkashindwa kunambia japo Mkandara you were right,! Isitoshe unasema vitu ambavyo mimi sijasema, kwekeza katika viwanda sijasema wawe Watqnzania tu, nilimtolea mfano Dangote huyu sio...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ipi dhima ya miundombinu

    Mkuu naona bado unazungumzuia Bandari kama kwamba mimi napinga Ujenzi ama kuwepo kwa Bandari kubwa nchini. Tanzania tunazo 3 kubwa na tunatarajia kujenga nyingine ya Bagamoyo. Ihave no problem with that. Infact kama unakumbuka miaka ile ya JK 2005 -2010) ni mimi niloweka hapa #Jamiiforums Idea...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ipi dhima ya miundombinu

    Nitajaribu kukujibu taratibu hoja moja baada ya nyingine. Unaposema Location yake una maana gani? Kama ni mkondo wa Harmuz Strait, Muscat, Oman ipo sehemu nzuri kuliko Dubai! Kuunganisha mabara matatu. Dubai lazima uingie ndani ya Hormuz Strait, Unaingia kule kufanya nini ikiwa hakuna Biashara...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ipi dhima ya miundombinu

    Nimekusoma vizuri lakini bado huelewi undani wa hoja yangu. Isitoshe pato la bandari pekee iwe ya Dubai au popote kwa kupakia na kushusha mizigo ya nje ni asilimia ndogo. Kumbuka kuwa Dubai ina mafuta (Oil) meli zinapangana kwenda chukua mafuta. Tanker zinaingia kna kutoka kila saa. It's what's...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ipi dhima ya miundombinu

    Nadhani hujanisoma vizuri kuelewa hoja yangu kwa sababu Bandari haizalishi kitu bali hutoza tozo mbali mbali ya meli zinapo pakia ama kupakua mizigo. Hizi ni huduma ndio maana ikaitwa Miundombinu iwe reli, barabara, viwanja vya ndege, maghala n.k sio biashara yenyewe na huwa havina faida kubwa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Unaniuliza maswala ambayo hayahusiani na Mada hii. Sijasema mahapa popote nayachukua maneno ya kina Habib Mchange ambaye kwanza sijawahi kumsoma wala kumsikiliza. Na hao wengine wote tuhuma zao nimeziona awali yao walitangilia Lema na Sugu kule X nitaanza kutia shaka nikitegemea Chadema...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ipi dhima ya miundombinu

    Nina shaka na maono ya viongozi wa sasa kuhusiana na dhima ya ujenzi mkubwa wa Miundombinu nchini kama kwamba inarudisha kwenye zama za Utumwa na kutawaliwa. Nakumbuka maono (Vision) ya rais Marehemu Magufuli aliweka juhudi kubwa katika Ujenzi wa Miundombinu hii sambamba na ujenzi wa Viwanda...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Mkuu wangu, maelezo yako.mengi ni nukuu ambazo umezipata mitandaoni kama mimi, hunanUshahidi zaidi ya tuhuma zote kuzisikia na majibu yakotolewa ukayapokea kama yalivyo. Kule mtandao wa X , Lema na Sugu walisema yao, mimi siwezi chukua maneno yale kama ushahidi wangu maana sikuwepo katika kikao...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Samahani, hao watu walitaka wamchangie Heche kwa sababu gani? Kiongozi hawezi kuamka tu akasema hadharani msinichangie wakati hakuna michango ilowahi kwenda kwake. Kama michango ilikuwa kwa.ajili yake lazima kuna hitaji la fedha hizo! Hitaji gani alokuwa nalo Heche mpaka awatake Wanachama na...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Kwa hiyo unataka kunambia Chadema nao ni kama CCM tu...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Umeniuliza Ushahidi katika tuhuma za Heche, nakujibu hivi Muulize Lema, Sugu au Boniface ukweli utaujua. Achana na hao kina Habib Mchange sijii kina mapandikizi, nenda kwenye Source. Somebody gut to raise up! Isitoshe sidhani hata wewe una Ushahidi kuhusu Mbowe. CCM inamtaka mtu yeyote...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Nasema hivi, hakuna kiwango cha Ufosadi katika Ufisadi. Jizi ni jizi tu, tapeli tapeli tu, haijalishi kaiba wapi au kamtapeli nani? Leo kwangu kesho kwako! Kataa wahuni... Kama Heche amefanya aloyafanya ndani ya Chama, tukamkingia kifua basi ni sawa na Mama anayemlea mwanae muuza ngada kwa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Nimeuliza swali halijajibiwa mpaka sasa, nasoma michango mingi ipo upande wa kutetea lakini mnaruka HOJA yangu. Narudia mara ya tatu (3) Taarifa zilitoka na.kusambaa kuwa Lema, Sugu na Boniface ndio walohoji swala la Heche katika Mkutano wa Kamati kuu ya Chama Kigoma. Je, Kweli au Uongo? Kisha...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Narudia kuuliza tena. Taarifa inayosema Lema, Sugu na Boniface ndio waloibua hoja ya Heche kutumia vibaya fedha za Chama ni za kweli au Uongo? - Tuanzie hapa
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Nayapokea Matusi yote nilotukanwa kwa sababu najua kitu kimoja."MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO" - Ahsanteni
Back
Top Bottom