Recent content by Mkandara

  1. M

    The United Banana Republic of Tanzania!

    Unaweza nambia sababu ya kusema wapiga kura Mil. 31 idadi ambayo hata chaguzi za nyuma hazikufikia? Kwa nini wasiseme asilimia 97 ya Kura Mil. 2 au 5 wataje namba ambayo hata mwendawazimu atashutuka!
  2. M

    The United Banana Republic of Tanzania!

    Nauliza, hudhani kama wanaendelea KUMHUJUMU makusudi ikiwa vyombo vyote ya Ulinzi na Usalama hawakufuata amri yake ukiacha baadhi ya sehemu. Kabla ya Uchaguzi Mkuu, kila mtu alijua Jeshi na Polisi wamejizatiti kumlinda kwa jinsi walivyokuwa wakifanya maandalizi. Lakini tunashuhudia tofauti...
  3. M

    Sakata la Polepole Mengi yamesemwa kwa Ubaya na Uzuri

    Inasikitisha sana, tena jana nimeona mama moja jirani akisema alipofika sehemu ya tukio alikuta nyumba imezingirwa, mtaa umefungwa wamejaa Polisi akauliza kuna nini? Polisi wenyewe wanakataa ati wanachojua Polepole yuko nje ya nchi, sasa huyu mama muongo? Zaidi ya haya kwa nini asihojiwe Mama...
  4. M

    Sakata la Polepole Mengi yamesemwa kwa Ubaya na Uzuri

    Hapana mkuu, Kulingana na Katiba Chama kilichoshinda Uchaguzi Mkuu ndicho huunda Serikali hata kama tunaona inatokana na Wanachama lkn kumbuka rais anaweza mteua kiongozi asokuwa mwanachama wa CCM. Tunaposema Serikali sio viongozi tu ni pamoja na hao Wanajeshi, Polisi, Wakuu wa taasisi zote za...
  5. M

    Sakata la Polepole Mengi yamesemwa kwa Ubaya na Uzuri

    Ili kujenga hoja inanilazimu kumtumia Polepole kwa sababu kwanza niseme ukweli sioni kosa lake Kisheria. Zaidi ya yote hayo, tuhuma zote alosema Polepole zimeshindwa kujibiwa na Serikali moja baada ya nyingine badala yake wanasaka watu. Kwani wale wasemaji wa Serikali na Chama kazi yao nini...
  6. M

    Sakata la Polepole Mengi yamesemwa kwa Ubaya na Uzuri

    Asalaam Aleikum - Amani iwe juu yenu. Kwa muda nimejaribu sana kujizuia kuandika lolote juu ya MKASA wa Kiongozi balozi mstaafu Humphrey Polepole. Mengi yamesemwa kwa Ubaya na Uzuri ili mradi kuridhisha nafsi na malengo ya wasemaji. Lakini UKWELI wa yote unabakia kuwa fumbo la Mbayuwayu. Mimi...
  7. M

    Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!

    Ukijibu hoja hizo nitashukuru zaidi, au nimeandika uongo?
  8. M

    Nini hasa lengo la harakati hizi za kumuondoa Mbowe madarakani?

    Jibu hoja, sio kunishambilia mimi, nina haki ya kusema, kuhoji na kuuliza kama ulokuwa nayo wewe unayempigia chabu Lissu. CHadema ilipoteza Wanachama wengi wakati yeye akiwa mgombea wa Urais, mkasema wamehongwa na CCM, leo mmebadilika ni kwa sababu ya Mbowe, kwa nini isiwe sababu ni Lissu...
  9. M

    Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!

    Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!, Mbowe mstaarabu sana aisee jamaa anampaka vibaya sana hata kwenye mdahalo. Najiuliza hivi, yeye aliporudi nchini alifanya nini? Upi mchango wake mkubwa baada ya kurudi nchini kutoka Ubelgiji ambao tunaweza sema Tundu...
  10. M

    Nini hasa lengo la harakati hizi za kumuondoa Mbowe madarakani?

    Mbowe mstaarabu sana aisee jamaa anampaka vibaya sana hata kwenye mdahalo. Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!, Najiuliza hivi, yeye aliporudi nchini alifanya nini? Upi mchango wake mkubwa baada ya kurudi nchini kutoka Ubelgiji ambao tunaweza sema Tundu...
  11. M

    Nini hasa lengo la harakati hizi za kumuondoa Mbowe madarakani?

    Chadema mnashindwa kabisa kusoma nyakati. Huu sio wakati kabisa wa kupigana marungu kuona Nyumbu wakioneshana ubabe wakati Simba kalala pembeni. Niseme hivi, Lissu na Lema wanabwabwaja hovyo kabisa afadhali ya Heche. Yaani Mbowe kukutana na rais kalamba Asali lakini Lissu alokutana na rais...
  12. M

    Chadema ndio Chama pekee nchini ambacho Wanachama wake wengi Wamekufa Kwa Kuuawa, kwanini Lakini?

    Kwa sababu Chadema miaka ya hivi karibuni wamekuwa Chama cha Wanaharakati sio Wanasiasa. Kuna tofauto kubwa baina ya kufanya upinzani wa Kisiasa na Upinzani wa uongozi wa rais aliyepo madarakani.
  13. M

    Ole wenu CHADEMA!

    Nimepita tu mtaani hapa kwa sababu ndio mahala pekee naweza pata muda kama huu. Pia naelewa watu wanachanganya nafasi hizi mbili kwa sababu wamezoea kuona mfumo mmoja sio huu wa Chadema ambao 1. Mwenyekiti wa Chama - Ni Mjenzi wa Chama kusimamia Itikadi, sera, mipango na mifumo ndani ya Chama...
  14. M

    Nini hasa lengo la harakati hizi za kumuondoa Mbowe madarakani?

    HAkuna mwingine, nisubiri nitarudi February hapa kijiweni tujadili, kwa sasa naishia hapa😁😁😁
Back
Top Bottom