Ukichukua ya Kabila kama ni Utambulisho wako, sasa Utaifa utakuwa nini? Mbona unanirudisha medieval era!
Ukisema hivyo basi itakuwa hata dini yako ni Utambulisho, dhehebu lako ni utambulisho, Uhaya wako na ukoo ni utambulisho, Uuume wako ni utambulisho, ndio hayo tuloletewa mpaka tumefika...