Katika Sura kama hii nadhani wameweka vema isipokuwa pale kwenye kumpunguzia rais Madaraka sijui abakie na wizara chache za serikali kusimamia. Tukimpunfuzia mamlaka yake tutayapeleka wapi? Hii itatuvuruga na kupata marais wengine pembeni wenye mamlaka ya juu.
Ukiwa na Bunge na Mahakama huru...
Haya maneno sikutunga mie, yapo kwa maandishi sehemu nyingi, isitoshe mkuu wangu neno Serikali na Dola fasihi yake ile ile, ukitafsiri Serikali utaambiwa ni Dola na Ukitafsiri Dola utaambiwa ni Serikali. Labda ule mhimili wa Serikali ndio ungeitwa Utawala kwa maana ya utelelezaji wa Sheria...
Samahani, hivi wewe mwanzangu umemuelewa? Hizi ni tihuma mbaya sana, maana mimi nimemsikia kama vile anataka watu wachemshe akili zao kumtafuta huyo YUDA. Wazae chuki dhidi yake pasipo kumoa nafasi. Kwa nini asimtaje ikiwa kweli alikuwa na Ujasiri huo? Ingesaidia siku hiyo huyo YUDA angepata...
Naona swali limekuwa gumu kujibika kwa sababu Katiba yetu haisemi maneno hayo isipokuwa Ibara ya 4(1-3) inasema Shughuli zote za Jamhuri ya Muungano zitatekelezwa na kudhibitiwa na mihimili hiyo kwa pande mbili za Muungano.
Hoja ya msingi hapa ni kujiuliza Serikali ambayo ina Jamhuri ya...
Ni wewe ulosema Chadema ndio ilowafanya GenZ kufanya yale maandamano. Na Uchochezi unao pelekea mauaji yalotokana na Uchochezi huo ni Uhaini.
Kuna wakati ni bora kukaa kimya kuliko kusema ukidhani unajenga kumbe unaharibu zaidi.
Unakumbuka kwamba ile vita ya Rwanda ilianza na Uchochezi wa yule...
Sina mpango wa Team yoyote wala Chama chochote cha Siasa. Mimi ni PanAfricanism kwa hiyo sikubaliani na CCM, Chadema, ACT na vyama vingine vyote ambavyo vina agenda ya kuligawa Taifa hili.
Kama kiongozi wa Chama cha Siasa Mbowe ni mbora zaidi ya Lissukwa sababu Lissu sio Mwanasiasa ni Wakili...
Hili ni swali kwa wahenga wa jukwaa hili la Siasa. Naomba pia ufafanuzi wake.
Ni Sura au Ibara gani ya Katiba ya JMT inayosema hivi: -
Serikali ina Mihimili mitatu.
1. Bunge -Parliament
2. Mahakama - Judicial
3. Serikali - Executive
Mkuu nimekusoma mwanzo mwisho, nidiriki kusema kwamba mengi uloandika ni Hadithi za kusimuliwa hakuna facts. Mfano, Mbowe hakumleta Lowassa, hakuna nukuu yoyote ambayo Mbowe kasema hivyo. Unaunganisha matukio kwa jinsi unavyoamini wewe na sii Facts!
Tundu Lissu alisema katika mikutano yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.