Acha kuchafua watu na kampuni zao tafadhali, nakushauri ungeweka hapa mkataba mlioingia na hiyo kampuni lingekuwa jambo zuri katika kujenga hoja yako.
Pili unapotoa taarifa hizi tambua watu wametumia miaka mingi kujenga brand katika biashara zao, sasa wewe unatoa habari ambayo huna hata nakala...
Ushauri kwa wamiliki wa Mwanahalisi; Anzisheni gazeti jingine na mlisajili kabisa kwa sababu katika maelezo hayo ya Serikali hamjazuiwa wamiliki kuanzisha gazeti jingine kwa taratibu zile zile. Mnaweza kuliita Mwanajamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.