Recent content by mkama dionizi

  1. M

    Siasa za Tanzania na vituko vyake!!!!!!

    Ndio siasa zetu!!! za Tanzania
  2. M

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    mi napita tu! kama mpita njia, Siasa haiko damuni.........................................
  3. M

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    nina huo umri! sema kingine. kazi kwako.
  4. M

    CHADEMA Pangeni Maandamano Siku Ya Ujio Wa Obama

    Umekosa kazi!!!!! Oboma anabalozi hapa Tanzania, kamuteua yeye mwenyewe. Na balozi wa marekani anaona hali ya Tanzania, ilivyo. Kama ingekuwa mbaya asingekuja tanzania. Kaa ufikirie mtu kama raisi oboma kuja tanzania kaona nini? Unaweza kuwa unadharau democrasia ya tanzania kumbe ni bora...
  5. M

    Sina imani na wanasiasa wa aina yoyote yule!.

    Kila mwana siasa anapotaka kuingia madarakani anatoa ahadi rukuki, ilimuradi tu apate nafasi kwa sababu ya interest zake!!! Ukiona watu wanampamba mgombea fulani, kuna kitu wanachotaka kama mgombea wao akipata nafasi wapambe wote watapewa nafasi au watapata fursa fulani. NDUNGU MTANZANIA...
  6. M

    Tiba asilia anapatikana mwanza !ana uzoefu wa kutosha,mawasiliano 0769293026

    Ndugu,Kila binadamu ana mawazo!!karibu ofisini.
  7. M

    Tiba asilia anapatikana mwanza !ana uzoefu wa kutosha,mawasiliano 0769293026

    Tena nadhani utakuwa wewe ndiye mteja mzuri!!! piga cmu nikusaidie maana!!!!!
  8. M

    Tiba asilia anapatikana mwanza !ana uzoefu wa kutosha,mawasiliano 0769293026

    utajuaje kuna mechi ya arsenal na barcelona bila matangazo?? na utajuaje oboma anakuja tanzania bila matangazo!!!!!!Fikiria halafu utaona uelewa wako.
  9. M

    Tiba asilia anapatikana mwanza !ana uzoefu wa kutosha,mawasiliano 0769293026

    Anaitwa Dr sospeter Majala, ana uzoefu wa zaidi ya miaka 20, Anatibu magojwa mbalimbali isipokuwa ukimwi na TB. Wasiliana nae kupitia No 0769293026, atakusaidia baada ya kueleza matatizo yako.
  10. M

    Mbowe: Nitajiuzulu endapo wabunge wa CHADEMA watapungua 2015

    Hii ni demokrasia kila mtu ana uhuru labda kaona kuna kiongozi mzuri zaidi chadema ndio maana kasema hivyo. Haitakiwi kulazimisha mtu ambaye kachoka na uongozi. Likitokea baya atasema munilazimisha mi nilikuwa nataka kustaafu, ni mawazo yangu.
  11. M

    Ushauri kwa Rais Kikwete kuhusu Matokeo mabaya ya Form IV-2012:

    hadi matokeo kutangazwa standistation imefanyika ya kutosha: au unapenda taifa lipate wataalamu feki: mwanafunzi anachat darsani unategemea nini. Fatilia matokeo hata yule za private achana na international school,kama feza boys. Angalia shule moja baada ya moja utaona hata private wamefanya...
  12. M

    Channel Ten: Mchungaji Antony Lusekelo azungumzia Kuchinja!

    Katika hili linahitaji hekima, busara na uvumilivu sana! Fikiria nini kitatokea kama wakristo au waislamu! Mmoja wapo akiruhusiwa kuchinja????????????
  13. M

    Tujadili elimu ya Mnyika au wanafunzi 240,903 kupata sifuri?

    Mimi ni Mtanzania asilia, nauchungu na nchi yangu. Tutapata wapi wataalamu wa baadae? kama elimu ya Tanzania inazidi kushuka.Mwaka 2005 waliohitimu kidato cha nne walikuwa 130000, Waliopata DIV 1, 2& 3 walikuwa 23000. Mwaka huu matokeo ya 2012 waliopata DIV 1,2 & 3 ni 24000 na watahiniwa ni...
  14. M

    Geita kimenuka: Pinda asusiwa kikao!

    Tanzania tunaelekea pabaya,busara, hekima na uvumilivu vinahitajika ili turudi kwenye.Tuangalie ubinadamu kwanza kuliko dini zetu. Hakuna raha kweye maisha ya shida maana vujo zikitokea hakuna atakayekumbuka kusali,lakini sasa hivi tunaishi kwa raha na tunakumbuka kusali. Angalia nchi kama...
Back
Top Bottom