Je,hilo gari kakodishwa kwa bei ya soko?? Kama ndio hela aliyolipa haijazidi bei ya hiyo gari? Kama sio kwa nini akodishwe yeye? Kwa nini hakuitaja ktk magari anayotumia?
Kuna ukweli unaonekana dhahiri kuwa Zitto amehongwa hayo magari. Yani baada ya kupewa tu atumie akataka kulinunua,pia zitto amgesema haya wakati anakanusha,ameficha mkono kamuumbua.
CCM hawana moral authority ya kuhoji matumizi ya fedha za vyama vingine kwa sababu,hawajaeleza mikataba ya miaka 264 aliyosema mwenyekiti wao,hawajasema nani alinunua gari mbovu aina ya mahindra mwaka 2005 ambazo zote zimekufa. Tenda ya jengo la Uvccm hakuna aliyewajibishwa.
Huyu mzee ni mwehu anaweza kuthibitisha kuwa kanisa lilimbeba?? Basi watangaze kuwa wakatoliki marufuku ccm. Tbc ilistahili wakatishe matangazo kuzuia huo utumbo.
Anayekusanya kodi ndo mwenye jukumu la kupeleka hela za maendeleo kwenye halmashauri ambako mbunge ni diwani pia ili kuzisimamia na kuleta maendeleo.Onyesha ushaidi wa central govt kupeleka fedha za maendeleo Arusha na zikatumika vibaya bila kujenga iyo complex unayotaka.Ikifika hapa ndo...
Kama mtu una akili timamu huwezi kuuliza ahadi za mbunge kabla ya ahadi za chama kinachotawala sababu ilani yao ndo ilipata ridhaa.mfano;ajira milioni moja,maisha bora n.k
Sijawahi kuona watu wa ajabu ka nyiemnaozungumzia udkni badala ya hoja!!! Kuna mtu wa imani nyingine amekataliewa cdm? Mbona nyie ccm mnafukuza waislamu tu Edward na Andrew hawagusiki??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.