Anajifanyaga yeye ndo mjuaji wa kila kitu na anaweza kumjibu kila mtu anavyotaka utafikiri JF ya baba ake.
Kama ameishiwa hoja arudi tu fesibuku kwa wapiga umbea wenzake.
Usipende kujiona wewe ndo mjuaji na una uwezo wa kumtukana mtu yoyote unavyotaka wewe bila hata kumjua.
Nakuangaliaga post zako zimekaa kimauzimauzi sana.
Badilika mtoto wa kiume ungekuwa chuga ungeshaliwa k*boga kwa kiherehere chako.
Nimemaliza na ctakujibu chochote ucjsumbue kuniuliza lolote.
Binafsi nina mpango wakufungua id ya pili kwa ajili ya jukwaa la siasa maana kwa hali ilivyo unaeza shangaa unaenda pimwa mkojo kwa ajili ya id yako ambayo umeisajili na kuweka utambulisho wako wa kweli japo user name ni fake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.