Recent content by Mkaguru wa Mlali

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi mkeo kufanya haya?

    Kwani mkuu uliamua kumuhudumia kwa kila kitu huyo mtoto ikashindikana? Hebu amua utamuhudumia wewe kwa kila kitu na uone kama wataendelea kukutana huko vichochoroni
  2. M

    JamiiForums Tanzania mnao tatufa kazi.

    Ni kweli kaka, mara nyingi huwa tunajisahau sana kwenye barua za kuombea kazi, inawezekana pia ni sababu ya kutokujua mkuu.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Uzinzi haufai jamani

    Pole sana kaka, ni vyema umejutia
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nauliza tu- kulikoni rangi ya chama kwenye vituo vya magari ya mwendo kasi?

    Pole sana mkuu, nadhani kilichokuumiza hapo sio rangi ya kijani kwenye vituo ni rangi ya CCM kwenye vituo! Hakika kuna watu wanaichukia CCM, ni wakati wa kujiangalia upya CCM
Back
Top Bottom