Jamani mnaotafuta kazi, jifunze namna ya kuandaa nyaraka zaNU na fikiria mara mbili mbili kabla ujakabiDHI nyaraka zako. Ofsi yetu inashughulika na "private investigation" kulingana na mahitaji ya mteja. Graduate kaja kuomba kazi barua yake bora ata mwanafunzi wa form 2. kibaya zaidi kaweka nakala za vyeti vya manafunzi bora katika usafi, ukwata, na barua ya mwenyekiti wa mtaa wa kijijin kwao, bora hata angekuwa mwenyekiti wa hapa mjin "dar" . na utumbo mwingine mwingi. kibaya zaidi kavaa rundo la vikorombwenzo mikononi na shingoni=vijana wenzangu mnaita "culture". KWA MTINDO HUU MTAISHIA KULALAMIKA NA WAGENI KUCHUKUA AJIRA ZENU.