Recent content by mkagendage

  1. M

    Wakijua tunachokitafuta nishtue

    Huwa hamaanishi kuwa anahitaji mwanamme amwone bali kibendacho roho
  2. M

    Mtatiro: Kaskazini wana Mkakati wa kwenda Ikulu

    Huyo anayetaka Itatiro ataje majina ni mpumbavu na rofa,ulishawahi kuona wapi habari kama hiyo ikutajie majina
  3. M

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Hawa wapiga kura za maoni wangezingatia pia uadilifu wa mgombea,maana ndugai anaweza kupiga hata wapiga kura wake,hana uvumilivu,tunasubiri kamati kuu kumwengua vinginevyo ukawa chukua jimbo
  4. M

    Hivi, Papa John Paul II ni kweli alifika Tanzania au ni maneno ya watu tu?

    Hongera kwa kutukumbusha kumbukumbu ya picha
  5. M

    Dr. Slaa Hatatuangusha Watanzania

    Kama jamaa hana hoja anyamaze na asichangie anajidihihirisha kuwa ni mkaukiwa hoja
  6. M

    Audio: Alichosema Askofu Dkt. Josephat Gwajima kwa Kardinali Pengo

    Hii kali hata kama amekosea mtumishi wa Mungu, Gwajima hastahili kukosoa kwa kumtusi
  7. M

    Tundu Lissu apambana dakika 125

    Penye ukweli uwongo hujitenga,hivi mtu akitetea hoja za msingi kuna mambo ya chama kweli,pole mpinga hoja huna maana kabisa leta hoja ondoa ushamba na chama chako mnaokumbatia maovu,shida yenu ni mwanya wa ulaji tu .Angalia Marekani chama kikifanya madudu kinawekwa kando na kingine kinashika...
  8. M

    Ujenzi wa Maabara kwa kuwaburuza wananchi, Kumeiumiza CCM

    Matokeo ya kata za kinondoni vipi washirika nijulisheni yakoje?ukawa kidedea au noma?
  9. M

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamis 2 Oktoba 2014 - Matokeo ya Kupitisha Ibara za Rasimu ya Katiba

    Siku zao zinahesabika hasa huyu Sita,anajiona ulmwengu wote niwake.
Back
Top Bottom