Recent content by Mjuzi wa mambo

  1. M

    Katika kueleka Mwaka mmoja wa Magufuri, CCM bado yashindwa kuvilipa vyombo vya habari

    Katika kueleka Mwaka mmoja wa Magufuri, CCM bado yashindwa kuvilipa vyombo vya habari Wakati Rais,John Pombe Magufuri akikaribia kutimiza mwaka mmoja tangu achaguliwe kuiongoza Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM), bado kimekaa kimya juu ya madai ya vyombo vya habari vilivyotoa matangaza ya...
  2. M

    Rais Magufuli na CCM vilipeni vyombo vya habari vilivyotoa matangazo ya kampeni 2015

    Magufuri na CCM vilipeni vyombo vya habari vilivyotoa matangazo ya kampeni 2015 Chama Cha Mapinduzi (CCM) bado kinaendelea na danadana kwa kutovilipa vyombo vya habari ambavyo vilitoa matangazo kwa ajili ya kampeni ya Rais na wabunge kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Oktaba mwaka jana...
  3. M

    Upinzani wamtaka Sumaye...

    CHADEMA wamtaka Sumaye kuchukua nafasi ya Lowassa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kipo katika mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, katika harakati za kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Chadema kumkibilia Sumaye inafuatia hali ya afya ya mgombea urais wa...
  4. M

    Warioba ainyima gazeti la Jambo Leo tangazo la rasimu ya katiba kisa kushabikia serikali mbili

    Tume ya marekebisho ya katiba chini ya jaji sinde warioba, imediriki kuinyima Jambo Leo tangazo la rasimu ya katiba yenye kurasa 20, kisa gazeti hilo kuendelea na kampeni ya kutaka serikali mbili badala ya serikali tatu ambayo tume ya katiba inaupigia debe. Uamuzi huo wa jaji warioba na tume...
  5. M

    Tulichokiona leo kwa macho yetu, kesho Magazeti ya Uhuru, Habari Leo yatatoka kivyake

    Nasikia gzeti la jambo leo limenyimwa kuchapishwa rasimu ya katiba page 20 kisa, wanaishabikia ccm kwa kutaka serikali bili ilhali tume inataka serikali tatu.haya tuone sasa jambo leo itaweza kuibomoa tume au ndio funika kombe mwanaharamu apite
  6. M

    JK tangaza bodi ya Ngorongoro, pesa zaliwa kama mchwa huku

    Mheshimiwa Rais, tumeambiwa bodi ya ngorngoro ipo mezani kwako karibu mwaka mzima sasa hii taasisi nyeti ya serikali haina bodi, kwa kulionea huruma hili shirika unaombwa kutangaza hiyo bodi haraka maana wajanja wachache wanajichotea mamilioni kila siku, lakini pia uendeshaji wa shirika hilo...
  7. M

    Kangi Lugola amlipua Nape,Kinana na Rais Kikwete kuhusu mawaziri mizigo

    Katibu Mkuu wa CCM, Abraham Kinana amekisusa chama cha mapinduzi kufuatia Rais kuwarudisha mawaziri mizigo katika baraza la mawaziri, pamoja na wao kupendekeza mawasili hao wafukuzwe kazi.Kufuatia kurudishwa kwao Kinana hajakanyaga ofisi za chama Lumumba, amezima simu zake zote. Hata le wenye...
  8. M

    Malinzi aelezea mikakati ya TFF kwa lowasa

    Nina wasiwasi na uwezo wa uongozi wa Bw. malinzi,sidhani Kama atakuja kubadilisha mfumo mzima wa soka na Jamaa Amelia kuvuruga kabisa mfumo mzima aliyowacha leodga renga.so saad
  9. M

    Mabilioni yanapotea hifadhi ya Ngorongoro kila siku, utendaji umesimama kwa kukosa bodi

    Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro inapoteza mamilioni ya fedha kila siku na utendaji kusimama kwa kukosa bodi, hatua ya Wizara ya Maliasili na utalii kukaa kimya bila kuteua bodi kwa muda mrefu kumetoa mwanya kwa wajanya wachache waliopo ndani ya mamlaka hiyo kujivunia mamilioni kila siku, lakini...
  10. M

    TANZIA Mbunge wa Chalinze (Said Bwanamdogo) afariki dunia

    mwenyezi mungu amuweke mahali pema peponi amin
Back
Top Bottom