Malinzi aelezea mikakati ya TFF kwa lowasa

Malinzi aelezea mikakati ya TFF kwa lowasa

Mjomba wa taifa

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2012
Posts
231
Reaction score
161
photo.JPG


Maswali:
1. Kwanini Malinzi amueleze Lowasa mipango ya TFF Lowasa na si Waziri wa Michezo?
2. Kuna uwezekano Malinzi ameona mbali kule October, 2015?
3. Malinzi haogopi nguvu ya Nape na Mangula?
4. Baada ya kumweleza mikakati, Je, Lowasa alimuahidi nini Malinzi?
 
Walamba miguu ni wengi.
Mfumo wa makundi ni mkubwa
 
Lowaasa asipopitishwa na ccm mirembe itaongeza mgonjwa.
 
Namheshimu Jamal Malinzi ambae tumesoma nae hapo Ilboru siku za nyuma, ambae ni mtaalam aliyetalamikiwa na taaluma ya uhandisi,kama alienda kwa Lowasa kumjulia hali maana yake afya yake ni mgogoro kwa hilo sina neno, ila kama ilienda sijui kumpa mikakati yan TFF kama rais ajae ninasikitika kumwambia hapo amechemsha, tena amachemka kabisaaaaaa.
 
Mwenye macho haambiwi tazama,mwenye masikio haambiwi asiki!

Aimini nawaambieni,the next President of Tz ni EL
 
Namheshimu Jamal Malinzi ambae tumesoma nae hapo Ilboru siku za nyuma, ambae ni mtaalam aliyetalamikiwa na taaluma ya uhandisi,kama alienda kwa Lowasa kumjulia hali maana yake afya yake ni mgogoro kwa hilo sina neno, ila kama ilienda sijui kumpa mikakati yan TFF kama rais ajae ninasikitika kumwambia hapo amechemsha, tena amachemka kabisaaaaaa.

Toa sababu.
 
No problem at all.
Lowassa ni mtanzania, mbunge wa Monduli na Mdau wa Michezo. Hakuna shida yoyote Malinzi kuongea mipango ya TFF na Lowassa, mipango ya TFF sio siri na mdau yoyote wa Michezo anaweza kushirikishwa.

Lowassa amekuwa 'akisaidia' mambo mengi ya kijamii, hivyo ni nafasi nzuri kwa Jamal Malinzi kuitumia kumshawishi Lowassa 'kuisadia' michezo pia.
It is good tactic and stratergy kwa Malinzi kama amefanya hivyo kwa Lowassa kuliko kwenda kuongea na watu kama JK na Nkamia ambao kutwa ni kuropoka lakini utekelezaji ni sifuri.
 
Mwenye macho haambiwi tazama,mwenye masikio haambiwi asiki!

Aimini nawaambieni,the next President of Tz ni EL

Kama hayo ni ya kweli ukichanganya na issue ya ukabila pale TFF basi atang'oka kabla ya 2015.
Mpira ubakie kuwa kama ana malengo ya kisiasa na anataka kutumia TFF kama mgongo wa kupandia, itakula kwake
 
No problem at all.
Lowassa ni mtanzania, mbunge wa Monduli na Mdau wa Michezo. Hakuna shida yoyote Malinzi kuongea mipango ya TFF na Lowassa, mipango ya TFF sio siri na mdau yoyote wa Michezo anaweza kushirikishwa.

Lowassa amekuwa 'akisaidia' mambo mengi ya kijamii, hivyo ni nafasi nzuri kwa Jamal Malinzi kuitumia kumshawishi Lowassa 'kuisadia' michezo pia.
It is good tactic and stratergy kwa Malinzi kama amefanya hivyo kwa Lowassa kuliko kwenda kuongea na watu kama JK na Nkamia ambao kutwa ni kuropoka lakini utekelezaji ni sifuri.

Duuuh ...! ile michango ya Mheshimiwa kutoka kwa rafiki zake ikihamia TFF ina maana udhamini wa pombe basi tena !😛ound::drum:
 
Nina wasiwasi na uwezo wa uongozi wa Bw. malinzi,sidhani Kama atakuja kubadilisha mfumo mzima wa soka na Jamaa Amelia kuvuruga kabisa mfumo mzima aliyowacha leodga renga.so saad
 
No problem at all.
Lowassa ni mtanzania, mbunge wa Monduli na Mdau wa Michezo. Hakuna shida yoyote Malinzi kuongea mipango ya TFF na Lowassa, mipango ya TFF sio siri na mdau yoyote wa Michezo anaweza kushirikishwa.

Lowassa amekuwa 'akisaidia' mambo mengi ya kijamii, hivyo ni nafasi nzuri kwa Jamal Malinzi kuitumia kumshawishi Lowassa 'kuisadia' michezo pia.
It is good tactic and stratergy kwa Malinzi kama amefanya hivyo kwa Lowassa kuliko kwenda kuongea na watu kama JK na Nkamia ambao kutwa ni kuropoka lakini utekelezaji ni sifuri.

mwambie aje aongee na mimi basi kama mdau wa michezo.
 
photo.JPG


Maswali:
1. Kwanini Malinzi amueleze Lowasa mipango ya TFF Lowasa na si Waziri wa Michezo?
2. Kuna uwezekano Malinzi ameona mbali kule October, 2015?
3. Malinzi haogopi nguvu ya Nape na Mangula?
4. Baada ya kumweleza mikakati, Je, Lowasa alimuahidi nini Malinzi?

malinzi macho yake ameona mwaka2015 sio leo
 
Back
Top Bottom