Recent content by Mjumbe255

  1. M

    Kuitwa kwenye usaili baada ya kupangiwa kituo cha kazi

    mm nilikutana na kitu kama hiki ila nikaona isiwe tabu nikaenda kufanya usaili Taasisi B waliniita usaili mda huo namiezi mitatu tamisemi, nilifanikiwa kupita usaili wa written na nikaenda kufanya oral pia lakin majibu yalivyotoa sikuitwa kazini, so maybe ni kweli ukipata kazi huwezi pangiwa...
  2. M

    Kuitwa kwenye usaili baada ya kupangiwa kituo cha kazi

    kama unaweza tusaidia maelezo zaidi itatufaa ndugu, inawezekanaje, wengine tupo tamisemi hata bado hatujathibitishwa ila kuna nafasi kwenye taasisi za umma zinatangazwa na zinamasilahi mazuri tunashinddwa kwenda kufanya usaili
  3. M

    Usaili wa Oral TBS unakuwaje?

    Habari wadau, kwa yeyote anaefahamu usaili wa oral TBS upoje kwa nafasi ya esearch, quality assurance or inspection officer unakwaje?, maswali gani ni common sana? au kama umewahi fanya usaili wa TBS na unakumbuka maswali uliyoulizwa nomba tusaidie tuwaokoe vijana na Mungu akubariki.
  4. M

    Barua ya Utambulisho katika usaili wa utumishi

    Habari wadau, samahani naomba kuuliza kuhusu Barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa inatakiwa iwe na sifa gani ili nipokelewe katika usaili wa utumishi? je inasainiwa na Afisa mtndaji au mwenyekiti wa mtaa ?
  5. M

    TBS interviews

    Haiwezekani
  6. M

    TBS interviews

    Mkuu ukipata zaidi naomba tusaidie washatuita kwenye usaili
  7. M

    Tabia ya Hawa wafanyakazi wenzangu, inaninyima raha

    Ushawai kutana na mazingira anayosemea uyu jamaa au unazungumzia uafrica tu?
  8. M

    TBS wanaita lini interview?

    Ni tangu mwezi wa kumi mwaka 2024 TBS walitoa tangazo la nafasi za kazi kwa kada mbali mbali mpaka sasa kimya au waliita watu kimya kimya?
  9. M

    Kuhama kutoka Tamisemi kwenda Taasisi ya Serikali kwa kufanya usaili

    Interview tulifanya wote angefaulu tu
  10. M

    Kuhama kutoka Tamisemi kwenda Taasisi ya Serikali kwa kufanya usaili

    Nijaribu kuongea na mkurugenzi kwanza nione kama atanisidiaa
  11. M

    Kuhama kutoka Tamisemi kwenda Taasisi ya Serikali kwa kufanya usaili

    Kwaio changamoto ipo kwa muajiri maana haikupita kwa muajiri kiukweli
Back
Top Bottom