mm nilikutana na kitu kama hiki ila nikaona isiwe tabu nikaenda kufanya usaili Taasisi B waliniita usaili mda huo namiezi mitatu tamisemi, nilifanikiwa kupita usaili wa written na nikaenda kufanya oral pia lakin majibu yalivyotoa sikuitwa kazini, so maybe ni kweli ukipata kazi huwezi pangiwa...
kama
unaweza tusaidia maelezo zaidi itatufaa ndugu, inawezekanaje, wengine tupo tamisemi hata bado hatujathibitishwa ila kuna nafasi kwenye taasisi za umma zinatangazwa na zinamasilahi mazuri tunashinddwa kwenda kufanya usaili
Habari wadau,
kwa yeyote anaefahamu usaili wa oral TBS upoje kwa nafasi ya esearch, quality assurance or inspection officer unakwaje?, maswali gani ni common sana? au kama umewahi fanya usaili wa TBS na unakumbuka maswali uliyoulizwa nomba tusaidie tuwaokoe vijana na Mungu akubariki.
Habari wadau,
samahani naomba kuuliza kuhusu Barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa inatakiwa iwe na sifa gani ili nipokelewe katika usaili wa utumishi? je inasainiwa na Afisa mtndaji au mwenyekiti wa mtaa ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.