Recent content by MjukuWaBabu

  1. MjukuWaBabu

    WAFUATAO WAFUKUZWE YANGA SC HARAKA SANA

    Haya ni makasiriko tuu... Wakati yanga inacheza tusisahau na wapinzani nao wanacheza, wakati yanga inapanga mbinu za kuwafungua wapinzani ,tusisahau kuwa nao wapinzani wanatafta namna ya kuwafungua Yanga. Maneno yako ni ya yule mwehu ambaye hajawahi kucheza mpira.
  2. MjukuWaBabu

    Uliwahi kuchapwa fimbo nyingi kiasi gani ulivyokuwa shule?

    Oyaaa nilishakula fimbo kama msitu mzima.... Makalio yaliganda mithili ya barafu. Bado niliendelea kuipenda shule kuliko hata mke nilienae Leo. 🙃🙃🙃
  3. MjukuWaBabu

    Kwanini CCM wanaidharau na kutaka kuikomoa Arusha?

    Arusha au Ashura 😂😂😂 serikali ya Malawi haijawai shindwa uchaguzi sijui wewe wamaanisha uchaguzi Gani?
  4. MjukuWaBabu

    Baada ya kusimangwa sana na vijembe, muasisi wa 'CCM Mtandao' kaamua kuingia chumbani!

    Hivi Kuna kupumzika kwa kula ufisadi alofisadi kipindi yupo ikulu ama kupumzika kwa kurejesha mali zote za wananchi? Hii serikali ya Malawi, tutashuhudia mengi sana.
  5. MjukuWaBabu

    Ila TFF ni watu wa hovyo sana

    😂😂😂😂 Nahowizeee
  6. MjukuWaBabu

    Hivi kuna uhusiano gani kati ya kusisimka kwa mwili wa mwanamke?

    Marahaba Mkuu, hiyo hoja hata mie sijui.
  7. MjukuWaBabu

    KERO Abiria wenye Tiketi nao wanatoza ushuru wa kuingia Stendi ya NaneNane Dodoma

    Maskini nchi hii analipa Kodi katika kila kitu. Yaani ananyonywa Hadi mifupa. Nchi imeoza hii🚮🚮🚮
  8. MjukuWaBabu

    KERO Watumishi wa Fountain Gate tuna hali mbaya kiuchumi, Serikali itusaidie tupate stahiki zetu

    Professions za watu zinazalilika sana huku private sector. Mifumo dhalimu sana huku.
  9. MjukuWaBabu

    Shikamoo baby!!!

    Kwani salamu yenyewe inasemaje?
  10. MjukuWaBabu

    Hata kama wanabeba Hivi unaweza kubeba watu wote hawa kila mkoa ? 😳

    Shule za kata zimeingiaje hapo Mkuu 🙃🙃
  11. MjukuWaBabu

    “Mimi naiba tu sina kazi nyengine mjini, ukinipiga ukiniuwa utajua mwenyewe…” 😂

    Ukimsikikiza dogo kwa kutumia moyo utaelewa dogo anasema hisia Kali zenye kuonesha kukatishwa tamaa na kusalitiwa na nchi pamoja na mifumo dhalimu. Elimu duni ambayo haijampa SULUHU la kupata ujuzi Ili ajipatie mkate Mfumo wa ajira kandamizi ambao haumtambui asiyekuwa na vyeti Wala kutambua...
  12. MjukuWaBabu

    Hata kama wanabeba Hivi unaweza kubeba watu wote hawa kila mkoa ? 😳

    AI ipo kazini.... Huo wingi ukusanyike hivyo ili familia zao zile tshirts za manjano na kijani ?
  13. MjukuWaBabu

    Maxence Melo amshangaa Gerson Msigwa kusema waliovamia Ofisi za Jamiiforums ni Maafisa Usalama

    Hatutonyamaza kamwe. Nasemaje hii nchi siyo mali Yao. Kama vipi waondoke watuachie nchi yetu.
  14. MjukuWaBabu

    Gerson Msigwa: Hakuna uvamizi uliofanyika katika Ofisi za JamiiForums

    Tanzania Tanzania Tanzania Unakoelekea ni kutengeneza wakimbizi ndani mipaka yako.
  15. MjukuWaBabu

    GE2025 Samia: Sio shida wala aibu kwa chama kuwasafirisha wanachama wake

    Kwamba kuwasafirisha kwenye malori kwani wao ni mang'ombe??? Wao wanatembelea Mav8, ama na wao washuke wapande hayo malori. Anyway Sina kazi ya kufanya that's why nimecomment
Back
Top Bottom