Recent content by Mjukuu wa Magika

  1. Mjukuu wa Magika

    Ni kweli Mwanasheria Mkuu anaweza Kumrudisha Nchini |Mange Kimambi kwa makosa haya na kwa hatua hizi

    Johari na mange wote ni jinsi ke . Mmoja ana akili na mwingine hanazo
  2. Mjukuu wa Magika

    GE2025 Golugwa akamatwa na jeshi la polisi nyumbani kwake Dar

    Je Humphrey Polepole yeye hahitajiki kituo cha polisi au tayari wanae central?
  3. Mjukuu wa Magika

    Njombe: Huyu kijana bila uoga azungumzia kuhusu haki, mauaji ya raia na uminywaji wa demokrasia mbele ya RC Njombe Anthony Mtaka

    Kulingana na hali ilivyo watamsubirisha kama mwezi mmoja na ataondolewa mazima
  4. Mjukuu wa Magika

    Kama mzazi imeniuma, kuna yeyote anamfahamu huyu mtoto?

    Hapa tunahitaji kufanya toba kamili
  5. Mjukuu wa Magika

    GE2025 Aliyekuwa Mbunge wa Mbulu Vijijini achukua fomu ya ubunge kupitia ACT Wazalendo baada ya kutopitishwa na CCM

    Nimependa kuhamia act bila shaka tujiandae kwa maonyesho ya sarakasi
  6. Mjukuu wa Magika

    Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Hasara haimpati mbuzi timua wote
  7. Mjukuu wa Magika

    Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Evelyn Salt my next wife 😜
  8. Mjukuu wa Magika

    Iran waja na kombora jipya linapiga kilometa 12000

    Marekani na Israel waache kupima uvumilivu wa Iran. Waache kuchochea maasi kwenye nchi tulivu. Ninachoomba wakijaribu kuichokoza Iran itekeleze mashambukizi Marekani na Israel
  9. Mjukuu wa Magika

    Baa si baraza la nafsi, makanisa si mapumziko

    Hongera sana, 👏. Nilienda kijijini kwetu nikakuta mlima uliokuwa na mawe pamoja na uoto wa asili wa nyasi na miti pori limeuzwa kwa kanisa na watu binafsi, niliumia sana. Sehemu hiyo ilikuwa sehemu bora ya kupumzika, kupata hewa safi ila sasa hivi pameharibiwa vibaya na wanayoita maendeleo ya...
Back
Top Bottom