Alijawapa kwenye Familia yenu ndio maana unajipa haki ya kukashifu kwani tatizobla Gearg hata wewe unaweza kulipata au zaidi ya hapo..
Kumbuka laana si toka Mungu hata Binadamu wanaweza kuku lani..
Futa kauli yako alaka kabla ya laana kukupata!
Tutamkumbuka sana Mzee wa Msoga maana nikumuona akiwa anakula kuku wake wa Bagamoyo huwa nabaki na furaha kwa kweli ametuwezesha mnyonge mnyongeni...
Mwenyezi Mungu ampe maisha marefu na yenye furaha..
Amiini Yarabil alamin...
Utashingiliaje ya mwenzio na wewe yakikufika watu watakushangilia...
Utamaduni wa kushangilia mtu alifikwa na mauti mmeutoa wapi jamani Tumuogope Mungu...
Na nyie mshangilieni mwenzenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.