Taharuki Bagamoyo Road

Taharuki Bagamoyo Road

Vinaelekea wapi au maghu anaenda ununio kule via bahari b . Usiniulize anafata nini .
Umejiandaaje na hatima ya uchochezi mtandaoni?, nauliza tu.
 
siwezi kutoka nje Nina familia na inanihitaji sana. Kwa nilichokiona dirishani kinanitosha
aiseee yani hii ni kauli ya mwenye familia. hivi hata kinyoka utakaua kweli?
 
Ndo wanaume wa dar hao wanatuabisha sana
Ushazoea huko mikoani mkisikia ving'ora ni vya TANAPA kuwaambia tembo wanaingia kwenye makazi ya watu and all you've to do ni kujifungia ndani; basi! Mjini ukisikia ving'ora unaiwaza mashine isiyokupa fursa ya kuisikia inapotaka kukurestisha in peace!!
 
Hahaha,maana sipati picha hata Mkeo alikuuliza unakimbia nini,na jibu lako silipatii Picha
Aisee acheni muuziwe kwa wingi Dawa za Kuongeza nguvu za kiume.
 
Unaambiwa kipindi cha panya road wakiisumbua dar nilikuwepo huko kikazi. Dhah!!!nilishuhudia wanaume wa dar wakiwakimbia Panya road kwa taharuki kubwa na mitumbo yao wakihama huku na huku mithili ya ng`ombe walioko malishoni!!
 
Hahahah kweli naona unaogopa basi hebu twambie hivyo ving'ora ni vya gari gani :

Zimamoto
Ambulance
Police
Gari la pesa

Au baada ya kusikia ving'ora ukapost bila kujua ni ving'ora vya gari zipi kati ya hizo!

Loh! Ila pole sana sio kosa lako kuogopa (ukiona mtu anaogopa hata tukio la hivi ujue hawezi kuwa na confidence)
Woga na aibu ndio utu!
 
Ni ving'ora, magari yanakimbia, magari ya deraya yanapita kasi yakipiga kengele na kelele. Hali inatisha, tuko kwenye taharuki kubwa wakazi wa Mwenge
Usihofu tupo kazini mkuu!!pole kwa mshtuko!!
 
NIMAANDALIZI TU YA UPANDAJI WA.MITI OCT NAOMBA MUWE WATULIVU NA WAPOLE
 
Sasa hapa mjini mfano Mwenge ukisikia ving'ora unakuja jf mbio kuripoti magari yanapita mbio na ving'ora......
Unataka uone ng'ombe wakililia ndama!... mjini unashangaa magari ya ving'ora?? Kweli?....
Jiongeze!!
 
Back
Top Bottom