Kiswahili ni lugha ya Kibantu, na lugha (nyingi) za Kibantu, kwa asili, zinaelekea kuwa na maneno matatu tu yanayoeleza dhana ya rangi:
1. Rangi nyeupe,
2. Rangi nyeusi, na
3. Rangi nyekundu.
Kama unazungumza lugha mojawapo ya Kibantu, jaribu kutafuta majina ya rangi, na utakutana na maneno ya...