Recent content by Mjukuu.Slim

  1. Mjukuu.Slim

    Agness Gerald (Masogange) afikishwa Mahakamani Kisutu, Apata dhamana

    Leo Agnes Masogange amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mawili ya kutumia dawa za kulevya aina ya Heroin na Oxazepam. Hata hivyo ameachiwa huru kwa dhamana ya Mil 10 na wadhamini wawili, na shauri hilo litatajwa tena tar 21 March kutokana na upelelezi kutokamilika. Naikumbuka kauli ya...
  2. Mjukuu.Slim

    Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

    Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police. Taarifa...
  3. Mjukuu.Slim

    Zijue baadhi ya bei za body na mabus

    Bei ya bodaboda mm hata kuuliza tu bei ya baiskeli naogopa..
  4. Mjukuu.Slim

    Zijue baadhi ya bei za body na mabus

    Hayana viwango halafu mabati yake yanapiga kelele, hata AC hayana, seat zake ndiyo usiseme nyembamba hizooo
  5. Mjukuu.Slim

    Goli la Shiza Kichuya(Simba SC) lachorewa mchoro Kisayansi

    Wacha uongo wewe.. Goli kama hilo hata Azam walifungwa na timu ya African Lyon..... Wabongo kwa uzushi duh[emoji124] [emoji124] [emoji124]
  6. Mjukuu.Slim

    NGUCHIRO

    Nilipokuwa shule ya msingi, kuanzia darasa la 4 hadi la 7 maksi zangu za hesabu kwenye mitihani zilikuwa zinacheza kwenye 03%- 08%. Matokeo yalikuwa yanatangazwa mbele ya darasa! Yanapotangazwa mwalimu anaanza kuwaita wanafunzi kwa kuanzia maksi za chini kwenda juu (0-100), kwahiyo darasa lote...
  7. Mjukuu.Slim

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hajapotosha
  8. Mjukuu.Slim

    Uharibifu wa viti zaidi ya 200 uwanja wa Taifa DSM wakati wa mchezo wa Yanga na Simba

    Kiukweli mwenye akili timamu huwezi kumlaumu refa apo swala ni kujitambua cc wantanzania bado sana .kama mtu umekaa nyumbani kwako na unaangalia mpira kwenye TV refa anapo kosea kwann hauvunji vitu vyako vya ndani huu ni ujinga tulionao watanzania
  9. Mjukuu.Slim

    Gazeti la Uhuru mmepotosha taarifa ya Forbes

    Abilia[emoji777] Abiria[emoji736]
  10. Mjukuu.Slim

    Ligi Kuu Tanzania Bara: Simba vs JKT Ruvu

    Mkia sawa na gari la Mkaa Tripu moja shamba Tripu moja Gereji....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  11. Mjukuu.Slim

    Tetesi: Yanga kuita wawekezaji hivi karibuni

    Kusikia sio kuona..... Na uone na kuhakikisha ndiyo utuambie.....[emoji12] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
  12. Mjukuu.Slim

    'Muwe makini'

    Itakuwa walimuua kwa hasira[emoji23] [emoji23] [emoji23]
  13. Mjukuu.Slim

    MAKAHABS

    TUCHEKE KIDOGO.. BIBI NA MJUKUU Mfalme alitaka kujua idadi ya makahaba ktk mji wake akawaambia wajipange foleni kuhesabiwa. wakapanga mara bibi kizee akapita akamuona mjukuu wake katika foleni akamuuliza kuna nini hapa? akamwambia "mfalme anagawa maembe bibi" Bibi akaunga foleni kwa uroho wa...
  14. Mjukuu.Slim

    DSTV ama yeyote, Naomba Kuelewesha Kuhusu Kuona Mpira kwa 23,000

    Unauzaje bei weka bei ili kila mdau akusome.. Na pia hujasema unapatikana wapi??[emoji45] [emoji45]
  15. Mjukuu.Slim

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga atenguliwa Uwaziri baada ya kuingia Bungeni akiwa amelewa

    KESHO MAGAZETI YOTE YATAPAMBA CHARLES KITWANGA ABWAGWA ........... ATAPATA UMAARUFU ZAID KWA SIKU KADHAA MBELENI SUKARI TUNAISAHAU RASMI KWANZIA KESHo
Back
Top Bottom