Leo Agnes Masogange amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mawili ya kutumia dawa za kulevya aina ya Heroin na Oxazepam. Hata hivyo ameachiwa huru kwa dhamana ya Mil 10 na wadhamini wawili, na shauri hilo litatajwa tena tar 21 March kutokana na upelelezi kutokamilika.
Naikumbuka kauli ya...
Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.
Taarifa...
Nilipokuwa shule ya msingi, kuanzia darasa la 4
hadi la 7 maksi zangu za hesabu kwenye mitihani
zilikuwa zinacheza kwenye 03%-
08%. Matokeo yalikuwa yanatangazwa mbele ya
darasa!
Yanapotangazwa mwalimu anaanza kuwaita
wanafunzi kwa kuanzia
maksi za chini kwenda juu (0-100),
kwahiyo darasa lote...
Kiukweli mwenye akili timamu huwezi kumlaumu refa apo swala ni kujitambua cc wantanzania bado sana .kama mtu umekaa nyumbani kwako na unaangalia mpira kwenye TV refa anapo kosea kwann hauvunji vitu vyako vya ndani huu ni ujinga tulionao watanzania
TUCHEKE KIDOGO..
BIBI NA MJUKUU
Mfalme alitaka kujua idadi ya makahaba ktk mji wake akawaambia wajipange foleni kuhesabiwa. wakapanga mara bibi kizee akapita akamuona mjukuu wake katika foleni akamuuliza kuna nini hapa? akamwambia "mfalme anagawa maembe bibi" Bibi akaunga foleni kwa uroho wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.