Habari zenu ndugu zangu
Naomba kuuliza kwa wale wazee wa maabala,
Kuna hospitali moja nimetembelea nimekuta wanatumia hii blood tube holder kwa zaid ya mtu mmoja (reuse) yan wanachofanya ni kubadilisha tu ile sindano ya juu lkn holder ni ileile
Sasa je nauliza kwa afya hii imekaaje hasa hasa...
Tatizo bado hujaolewa na nahisi huyo unaemuita mume sio mume wa ndoa labda ni hawala tu., Nadhani ukiolewa rasmi utaacha hayo mawazo yako ya kisichana na utaanza kuwaza kama MWANAMKE na sio kama MSICHANA tena
habari zenu wadau
Naomba kuuliza kwa yeyote anayefahamu ilipo kampuni ya Daima InfoTech solution
Naomba anielekeze ili niweze kufika nina shida nahitaji kuulizia pale. Nasikia ipo barabara ya bagamoyo road ila sijajua ni sehemu gani?
Asanteni.
ukiona mpaka nimeuliza huku ujue cjapata taalifa zilizo nilidhisha. na sababu kubwa ya kuuliza huku najua kua kuna watu mbali mbali ambao wengine yawezekana walishafanyag kaz kwenye wizara hyo. but thanks for ur responce
habari zenu wadau
naomba kuuliza kwa anayefahamu hiv mtu ukisup chuo inakuaje kuhusu mkopo wako je unaendelea kupata au la?
na pia uki carry mkopo unapata au la?
Jaman hivi hizi dawa za
PrEP = Pre Exposure Prophylaxis na PEP = Post Exposure Prophylaxis
zinapatikana hapa tanzania?
kwa anaejua naomba anielekeze zinapatikana wapi.
nna hitaji tu kujua haimaanishi kwamba ni HIV exposure
Wadau mambo vipi?
Naomba kuuliza jambo juu ya swala la pombe mimi sijawahi kunywa pombe ila kila siku huwa natamani kujaribu kunywa ila kinachoniogopesha sijui nita react vipi baada ya kulewa nahofia nisije nikavua nguo au nikatukana watu.
Naomba ushauri ni bia gani inafaa kwa biginers na...
nafasi nadhani bado sababu huwa wanatoa muongozo kwenye website yao so jaribu kuingia mara kwa mara na pia nadhani dirisha la Rufaa linafunguliwa baada tu ya awamu ya mwisho ya kuisha na huwa liko wazi kwa siku tisini na kwa maelezo zaidi mcheki kamishna wa mikopo wa chuo chako atakusaidia GuD DaY
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.