Issue hapa siyo Msukuma vs Mpina, bali ni nguvu ya Kipara wa Nishati kujilinda. In short Mpina komaa!. Nawe Msukuma inabidi watu wakutail usikute ulishapigwa mpunga na akina flan ili umtetee Kipara kwakuwa Kipara mwenyewe anawafavor sana hao akina flani. Think outside the box bros and sis
Mkono wa nini!!??. Wewe unayeshauri huu uharo leo, kesho ndiyo utakuwa wa kwanza kulalamika hovyo humu. Mwacheni Mhe. Rais Samia apige kazi kwa mujibu wa Katiba na Sheria za nchi, ushauri wa mkono wa chuma peleka kwa majirani zetu Kaskazini Magharibi.
Usiwalaghai wananchi. Bwawa la Umeme JNHPP unaendelea vizuri na mkandarasi mkuu na wakandarasi wasaidizi wote wako site. Utakufa kwa kijibwa cha roho shauri yako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.