Recent content by Mjegejo Wa Begeju

  1. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Nilimaliza siku nne bila kula chochote, Nilikuwa naona kifo hiki hapa

    Watu wasituone tumekaa kwenye magari wakadhani tumepitia njia rahisi kama zao.
  2. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Nilimaliza siku nne bila kula chochote, Nilikuwa naona kifo hiki hapa

    Haya maisha acha kabisa. Watu hawajui tu wanaume tunatokea wapi. Na bado tulikaza. Hawa madogo siku hizi wanafumiliwa malinda wakati sisi miaka yetu tulikaribia kufa kabisa na malinda yetu yapo sawa. Hakuna kuuza ubingwa.
  3. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Nilimaliza siku nne bila kula chochote, Nilikuwa naona kifo hiki hapa

    Daaah........... Hapa ukawa unapiga game kisawa sawa ili upate msosi. Huwa bado unamkumbuka huyo dada?
  4. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Nilimaliza siku nne bila kula chochote, Nilikuwa naona kifo hiki hapa

    Koo linakauka.... Sauti inagoma kutoka. Mate unayapata kwa mbali halafu machungu kinoma. Unakuwa dhaifu hata mashine haisimami hamu inakata... Ikisimama unasikia maumivu tu na kero maana ukipata na ukipiga demu unatoa upepo tu... Kama tairi lililotobolewa.
  5. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Nilimaliza siku nne bila kula chochote, Nilikuwa naona kifo hiki hapa

    Mwaka 2005 na leo ni mwaka 2023
  6. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Nilimaliza siku nne bila kula chochote, Nilikuwa naona kifo hiki hapa

    Nguvu ziliisha. Miaka hiyo tulikuwa tunakaza kinoma. Umewahi kuona mtu ana njaa hadi mate anameza kwa nguvu sana kama anameza jiwe? Hakafu kutema hawezi maana ni machache halafu pia nguvu ya kuyarusha mbali hana. Mwaka 2005 siwezi usahau kabisa.
  7. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Nilimaliza siku nne bila kula chochote, Nilikuwa naona kifo hiki hapa

    Huwa nawaaambia watu wasinione hivi miaka ya nyuma nlionjaga njaa. Kiukweli ukweli hasa. Wakaze makalio wasifanye mchezo.
  8. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Nilimaliza siku nne bila kula chochote, Nilikuwa naona kifo hiki hapa

    Hiyo ni Mwaka 2005.... Kitambo sana.
  9. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Nilimaliza siku nne bila kula chochote, Nilikuwa naona kifo hiki hapa

    Baada tu ya kumaliza Elimu nikawa nimefanyiwa kajisherehe flani pale home wakanipa na zawadi kati ya zawadi hizo kulikuwa na pesa. Nikaona hapa hapa nianze mchakato wa kuhama home. Maana niliona home ni kama wameanza kunizoea sasa. Kuna vi ishu vidogo dogo wananiambia nami niwe nafanya wakati...
  10. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Ananiambia nijipange, kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

    Wameitana ......... Wakitaka wapate haki ya kununuliwa.
  11. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Bara la Afrika, Maajabu Makubwa ya Viongozi na Watu wao

    Africa ndiyo bara linaloongoza kwa kuwa na maajabu mengi yasiyo na tija. Ni bara ambalo linaamua kumchagua binadamu mmoja kumfanya awe mungu, jambazi la kuheshimika, tapeli, muuaji na fisadi. Huyu akichaguliwa na kupewa vyeo hivyo anaachagua naye watu wa namna yake ambao watatenda kama yeye...
  12. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni watu wa ajabu sana, jana kang'ang'ana kwenda kwao nimempa Nauli, leo anataka kurudi

    Dogo unakaa iddle sana. Mpaka unaanza ku imagine stories za kipumbavu kama hizi. Ukikosa kazi basi angalau hata pitia pitia katiba au mkataba wa DP World. Itakusaidia kuliko kuwa iddle halafu unaanza kujiwazia mambo kama haya ya kipumbavu na uongo wa kitoto.
  13. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Kwanini Simba SC Imepoteza Mvuto?

    Nyie wake wa manara njoooni mumchukue hata huku Yanga hatumtaki. Mkae naye huko mliko mume wenu.
Back
Top Bottom