Recent content by Mjasirinamali

  1. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania Kuanzia Leo naanza kupiga kama Malaya wengine tu

    kwa kwa style hiyo, hutaoa, hata ukioa utaacha tuu.......
  2. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania Kuanzia Leo naanza kupiga kama Malaya wengine tu

    hahahaa, duu, hyo sasa hatar,
  3. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania Nauza mahindi mabichiI (gobo)

    Nauza kwa heka mkuu, twapatana kwa heka then wachukua mzigo shamba.
  4. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania Nauza mahindi mabichiI (gobo)

    0712 420 882, 0757 191 881, 0683 255 448. hiyo mkuu.
  5. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania Nauza mahindi mabichiI (gobo)

    Wasalaam wanajumuia wa JamiiForums, Nauza mahindi mabichi (gobo) heka moja. Hivyo nahitaji mnunuzi tafadhali, Shamba lipo Mlandizi bonde la Mtoruvu, maarufu kama Kivukoni kwa Mpili. Mwenye uhitaji tuwasiliane, aje private message.
  6. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania Nauza mahindi mabichi

    Wasalaam wanajumuia wa JamiiForums, Ninamahindi mabichi yapo shamba, heka moja nauza kwa bei ya jumla. Hivyo nahitaji mteja tafadhali. Shamba lipo Mlandizi, bonde lamto Ruvu, maarufu kama kivukoni kwa Mpili. Mwenye uhitaji tafadhali tuwasiliane.
  7. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania "Natafuta soko la uhakika la mayai ya kienyeji"

    duuuh kweli hiyo sentesi ni tata, namaanisha kama kunamuhitaji anaya hitaji mimi niwe namletea. mimi ninayo natafuta wakuyanunua.
  8. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania "Natafuta soko la uhakika la mayai ya kienyeji"

    kwa uzoefu mdogo nilonao, kama wanajikunyata na kukoroma itakuwa ni mdondo, kwahivyo bac kukuwanatakiwa kupatiwa chanjo ya mdondo kila baada ya miezi mitatu. hiyo nikama kinga, kwasasa wamesha athirika, kwa uzoefu wangu mdogo ukiwapa chanjo wakiwa wameathirika wanaweza kufa kabisa......., sasa...
  9. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    hahahaaaa, nipe soko la dar.
  10. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Kweli pesa waweza piga, ila bila jasho hakuna utam.
  11. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    lete idadi uitakayo kiongozi, hiyo wangapi ni namba tuu, wesema tulete wangapi majogoo na majike.
  12. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania Nanunua kuku wa kienyeji pure!!

    Hahahaa, Dawa kwa ufugaji wa kuku hai epukiki, mdondo ni hatari wallah.
  13. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    kwenu wapi mkuu tulete mzigo huo, hiyo nifursa.
  14. Mjasirinamali

    JamiiForums Tanzania Nanunua kuku wa kienyeji pure!!

    Hutaki kuku walio chanjwa inategemeana ni chanjo gani, maana hata wewe utapo anza wafuga lazima utawapa chanjo tuu.
Back
Top Bottom