Nauza mahindi mabichi

Nauza mahindi mabichi

Mjasirinamali

Member
Joined
Mar 7, 2017
Posts
32
Reaction score
19
Wasalaam wanajumuia wa JamiiForums,

Ninamahindi mabichi yapo shamba, heka moja nauza kwa bei ya jumla. Hivyo nahitaji mteja tafadhali.

Shamba lipo Mlandizi, bonde lamto Ruvu, maarufu kama kivukoni kwa Mpili.

Mwenye uhitaji tafadhali tuwasiliane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom