Nauza mahindi mabichiI (gobo)

Nauza mahindi mabichiI (gobo)

Mjasirinamali

Member
Joined
Mar 7, 2017
Posts
32
Reaction score
19
Wasalaam wanajumuia wa JamiiForums,

Nauza mahindi mabichi (gobo) heka moja. Hivyo nahitaji mnunuzi tafadhali, Shamba lipo Mlandizi bonde la Mtoruvu, maarufu kama Kivukoni kwa Mpili.

Mwenye uhitaji tuwasiliane, aje private message.
 
Weka namba yako ya simu hapa ufanyebiashara mkuu..... 071.......
 
Tuletee tu sie wanaume wa Dar, tutayatwanga na ndimu kama kawaida yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom