Recent content by Mjasiriamali2015

  1. Mjasiriamali2015

    JK na CCM wanahitaji Jifunza toka Mbowe na CHADEMA kwa issue-Hakuna kauli za binafsi CHADEMA

    Lissu anawapasua vichwa chama kizima mpaka mzee wa nimeambiwa/nimesikia na yeye anafikia hatua ya kutoa track ya mipasho duuh
  2. Mjasiriamali2015

    Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

    Huh huh huh nimeambiwa/nimesikia/nimefahamishwa!
  3. Mjasiriamali2015

    CCM Mkoa wa Mbeya yawaunga mkono wafanya biashara kugomea kununua mashine za TRA

    Wasingeandamana kupinga huu uonevu hawa masisiem wangeunga mkono kitu gani? Ccm na wanafiki kuliko unafiki wenyewe
  4. Mjasiriamali2015

    KUB Freeman Mbowe Vs NS Job Ndugai: Kushindwa kwa Uongo baada ya Kweli kufahamika!

    Kwanza sina hakika hata chembe kama maendeleo aliyoyaleta KUB jimboni mwake wewe umefikia hata 1 ya 10 yake jimboni mwako zaidi ya kuimba taarabu tu,nakushauri umtafute Mzee Yusuph ufanye nae korabo. Ningekuona wa maana siku ile wabunge wa upinzani wametoka nje kususia kikao cha ubunge...
  5. Mjasiriamali2015

    Nani anayeweza kuwa raisi kutoka chadema? Maoni na vigezo vigezo vizingatiwe

    Kweli CHADEMA wamewashika pabaya masisiem,yaani hayawezi kuongelea mambo yao bila kuitaja CDM Laiti ccm angekua ni binadamu na akazaliwa uswazi angekua ka sio mchawi aliekubuhu basi angekua kibaka ama changudoa wa kutupwa. Huu uzi ulioletwa na mtu aliyelewa sembe unanikumbusha mwezi uliopita...
  6. Mjasiriamali2015

    Mbuge wa CHADEMA Ilemela, awafanyia usanii wapiga kura wake kwenye gari la wagonjwa

    Mkuu acha uongo wa rejareja 1.Mbunge wetu Mpendwa hakugombea ubunge 2000 wala 2005 2.Hatuna plan za kumbadilisha mbunge wetu labda aamue kuacha kugombea yeye mwenyewe kwa sababu ni mchapa kazi hodari 3.Ni haki yake kuliandika jina kwa sababu hiyo fedha katoa mfukoni kwake na si kutoka katika...
  7. Mjasiriamali2015

    Dr. Slaa Anaendelea Kutafuta Ufumbuzi Wa Tatizo La Kiuchumi. Makampuni yaahidi Maelfu ya Ajira!

    Teh teh teh masisiem yanaumiaaaa ajabu! Si ni bora mara 1000 huyo alienda veta ya marekani kuliko yule anaenda kutalii na kupiga picha na kina 50 Cent U-Bolt Becham Sisiem mfu hoyeeeee
  8. Mjasiriamali2015

    Mbowe akatisha ziara yake nchini Denmark kutokana na kifo cha dada yake

    Unaweza thibitisha kua anahusika na hiyo ajali uwasaidie polisi upelelezi mkuu?
  9. Mjasiriamali2015

    Chikawe afichua siri: Vifungu 6 Katiba mpya vilichomekwa bungeni bila kuhusisha Zanzibar

    Ni haki yako kutokuelewa maana bichwa limejaa sembe tupu.
  10. Mjasiriamali2015

    Mahakama waiondoa kesi dhidi ya Godbless Lema

    Haaa haaa wa send-0ff huyuoo
  11. Mjasiriamali2015

    Kwanini Dr Slaa akisafiri ofisi anamwachia Victor Kimesea, majukumu yake anamwachia Mnyika?

    Huh huh huh uvccm hoyeeeeee! Mmeshindwa kuvuana magamba mnang'ang'ania kutaka kujua magwanda yanatengenezwa vp
  12. Mjasiriamali2015

    Kesi inayomkabili Mbunge Godbless Lema kusikilizwa mfululizo. Tundu Lisu ndani ya nyumba

    Msaada wa kisheria! Hii ni kesi ya madai au jinai?
  13. Mjasiriamali2015

    Ikulu ya Tanzania ihamishiwe USA mpaka 2015 kuokoa gharama

    Akili zilizofubaishwa na sembe utazijua tu;thread inaongelea safari za kishikaji za Jk USA mtu anakurupuka tu mara bavicha mara mbowe yaani inaonesha kwa jinsi gani magamba walivyo na akili za kupachikiwa! Back to the point ziara za JK zinakoleza umaskini wetu
  14. Mjasiriamali2015

    Wanandoa: Angalia hizo picha

    Huh huh hu still single boy
  15. Mjasiriamali2015

    CHADEMA yazidi kumeguka...!

    Haa haa haaa kweli masisiem yana akili za kimsukule kweli kweli,eti alipopatwa na matatizo CDM walishindwa kumsaidia alitaka chama ndo kilipie ada za watoto wake au chama ndo kimpe hela ya kununua mboga ndani?,mbona watu wanatumiwa kijinga hivyo jamani! Pole kwa wale wanaotoka ndani ya safina la...
Back
Top Bottom