Mwanzoni kanafsi kalianza kukataa ila it is a realistic data. Kama namba moja angekuwa USA akifuatiwa na ISRAEL ningetia shaka maana states wanapenda kujipaikweza.
Business administation iko poa kwake anaweza soma huku anafanya yake aende vyuo kama IFM TIA CBE etc wanapokea na itakuwa vizur kwake sababu inauhusiano na anachofanya kuna dada yangu nae anafanya hvo
Wachek hawa wahindi ST JOSEPH UNIVERSITY jana kupitaia gazet la mwananchi nimeona wametoa pre entry admission for diploma minimum entry walizoandika ni minimum of 4 passes at CSEE excluding religious subjects and language subject hence english language will be considered. Matriculation exam /...
Usikate tamaa kama ulipiga science tafuta chuo cha maswala ya afya piga au re seat paper tena ujiandikishe mapema japo utapigwa faini kwakuwa umechelewa tareh 31 necta hawataruhusu tena application
Duh naona wagalatia mmechachamaa mbingu yenu ambayo kila mnaitulea fungu la kumi inaonekana imejaa miti tu kama misitu ya kongo haina starehe yoyote. (jibane sasahivi utumie baadae)
Reason out things before judgement hata kichaa anamuona aliyetimia mwendawazimu tu. Kwahiyo lazma ufanye research kwann hao watu wanaoitwa (fundamental muslims) wanauwawa. no body knows the pain of death but only the dying man. Kifo kifo 2 kiwe cha gun au deasease the living man dont know its pain.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.