Recent content by Mizigo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo yanayotokea kwa sasa

    Mkuu wacha Mungu tumwachie cheo chake bila msaada wake ilikuwa utata mtupu. Kila kitu nilimwomba aniongeze maana kikombe kilichokuwa mbele yangu na ambacho nilipaswa nikinywe hakika sikutaka kabisa hata kukiona. Kimerudi kule kiliko toka. Huwezi amini mkuu nilikuwa natembelea unit chache sana za...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo yanayotokea kwa sasa

    Lara1 na Kongosho malaika wa wabwana wanawaoneni kwa vicheko vyenu vyenye dhihaka juu yangu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo yanayotokea kwa sasa

    Mkuu Kongosho Mirembe kwa hiyo bila hili jamvi nilistahili kuwa Mirembe kweli? Nikiwa hapo Mirembe ndo ningejiuliza haya sasa si ndiyo maana yake.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo yanayotokea kwa sasa

    Hapa ninapokaa nipo jirani kabisa na kanisa fulani ambalo kwa mida hii sasa ndo limezama kwenye maombi mazito ya kiroho. Hawa waumini wake wamejizatiti sawa sawa kuziangamiza nguvu za muovu shetani. Lakini sasa hali ni tofauti sana kwangu. Yaani hapa nilipo nawaza vitu vya ajabu ajabu tu visivyo...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo yanayotokea kwa sasa

    Hapa ninapokaa nipo jirani kabisa na kanisa fulani ambalo kwa mida hii sasa ndo limezama kwenye maombi mazito ya kiroho. Hawa waumini wake wamejizatiti sawa sawa kuziangamiza nguvu za muovu shetani. Lakini sasa hali ni tofauti sana kwangu. Yaani hapa nilipo nawaza vitu vya ajabu ajabu tu visivyo...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mpiganaji yupi unamkubali WWE?

    Namhurumia sana huyo jamaa yako Adam. Angeingia Wwe mapema kuanzia kipindi cha Sumer slam mpaka tulipo sasa kwenye payback sidhani kama angepumua mbele ya akina Roman Reingns, Cm Punk kabla ya kukutana na kiumbe cha ajabu sana na cha kipekee kama Daniel Bryan
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu jamani

    Haya mahusiano sijuwi huwa yanakanuni? Au labda huwa tunabahatisha tu kuwa sehemu sahihi? Mi huwa sina jibu kuhusu haya mahusiano, kwani we mdada kutoka moyoni mwako umeamuwa kipi na ukishikilie kwa nguvu zote usikiachie
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hodi hodi

    Sasa nahisi mapigo ya moyo yanaenda mbio. Ati mkuu Mwela unakusanya michango yote!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hodi hodi

    Mkuu mbona unataka kuniharibia siku kwa ukaribisho wako
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hodi hodi

    Hii kitu Tarime one na hii kitu Macho inaweza kuwa kuna kitu hapo.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hodi hodi

    Jamani mimi ni mgeni humu jamii forum nimevutiwa na sana na hili jukwaa kwa muda mrefu sasa. Je nimepokelewa? Nyani Ngabu,bujibuji,Likudi na wengineo
Back
Top Bottom