Hodi hodi

Hodi hodi

Mizigo

Member
Joined
May 29, 2014
Posts
12
Reaction score
1
Jamani mimi ni mgeni humu jamii forum nimevutiwa na sana na hili jukwaa kwa muda mrefu sasa. Je nimepokelewa? Nyani Ngabu,bujibuji,Likudi na wengineo
 
karibu sana mkuu ila mambo ya fb hapa hatuyahitaji kama ni thread tupe yenye mafunzo na kutufurahisha vinginevyo utachambwa ikibidi na mabango utapewa ukipost ujinga karibu sana.
 
Hii kitu Tarime one na hii kitu Macho inaweza kuwa kuna kitu hapo.
 
Karibu sana ndg ila utakapokuwa unatuma post jiandae kisaikolojia kukosolewa na kupongezwa pia.
 
karibu sana mkuu ila mambo ya fb hapa hatuyahitaji kama ni thread tupe yenye mafunzo na kutufurahisha vinginevyo utachambwa ikibidi na mabango utapewa ukipost ujinga karibu sana.

Mkuu mbona unataka kuniharibia siku kwa ukaribisho wako
 
wala sikuharibii siku mkuu wangu ni kukueleza tu hali halisi iliyomo ndani ya jf maanake wengine wapya wamewahi kulalamika kuwa wanapigwa mabango au hawaungwi mkono hoja zao na ndio maana na wewe nimekupa tahadhari mapema ili usije ona jf si mahala pazuri kwako,hope umenisoma mkuu Mizigo kwa nyongeza zaidi msome mkuu ROBERT MICHAEL pale juu.
Mkuu mbona unataka kuniharibia siku kwa ukaribisho wako
 
Last edited by a moderator:
karibu mi ndio mwela hazina huwa nakusanya michango yote kwa maelezo zaidi piga 111 niulizie
 
karibu mi ndio mwela hazina huwa nakusanya michango yote kwa maelezo zaidi piga 111 niulizie

Sasa nahisi mapigo ya moyo yanaenda mbio. Ati mkuu Mwela unakusanya michango yote!
 
^^
images (4).jpg
^^
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom