Recent content by Mixxx

  1. M

    Viwanda ili vikue kwa kasi na kudumu havihitaji huruma za kibinadamu

    Kaka ulaya wanafanya wanafanya innovation tu kwasasa lakini viwanda vyao vingi vipo china, taiwan, india, tiland, vietnam wao wamebaki kubuni bidhaa tu arafu inaenda kuzalishwa kwenye mataifa mengine ambako ndiko wametega viwanda vyao mfano bidhaa kama Iphone ni ya wamalekani lakin kiwanda chake...
  2. M

    Ukitaka kuwa mtu mwenye Nguvu juu ya ulimwengu huu usifanye mapenzi

    Jee unaweza kutoa ufafanyzi zaidi kwa hii maada yako mkuu ningependa kujua zaidi ya apo
  3. M

    Tujuzane fursa za biashara Afrika

    Akujaa kaa vizuri au?
  4. M

    Black Panther: Filamu kama njama ya kufuta historia halisi ya harakati za Black Power

    Mtu mweusi mvivu wa kufikilia lakin pia hatuna mazingira wezeshi kuna watu wanaweza kufanya kazii izoo za kuandika historia yetu lakin mazingira ayawawezeshi jibu ni lile lile poor government saport
  5. M

    Uongozi wa Simba SC nasikia mnataka kuwaacha Nahodha Zimbwe Jr na Kapombe. Kwa Kapombe nawaunga mkono ila kwa Nahodha Zimbwe nakataa 100%

    Kupata mchezaji kama kapombe sio rahisi mkuu we ngoja wamuache mbadala wake kupata sio kitu rahisi kiivoo
  6. M

    Tujuzane fursa za biashara Afrika

    Niliskia kua soko la bidhaa za nafaka nikubwa mnoo kule kwani hawana elim ya Kilimo ipo nyuma sanaa kulee
  7. M

    point mpya za fifa club world cup 2029, simba aipo top 10

    Lakin pia kaka hii ligi ningumu kwa sisi kwasababu waarabu wapo financial fit sanaa atutaweza kukompit mbele yao labda tutumie mbinu za wabrazili kuzalisha vipajivyetu kwa wingi lkn kwa kusajili awa free agent kutoboa kwetu nikugumu sanaa
  8. M

    point mpya za fifa club world cup 2029, simba aipo top 10

    Sahihi kaka inawezakana labda io wanetumia kwasababu ni msimu wa kwanza lkn misiimu inayofuata waakaangalia kwa kukusanya point kila myaka mkuu nimekuelewa piint yako vyema
  9. M

    point mpya za fifa club world cup 2029, simba aipo top 10

    Haipo ivyo kaka we ujiulizi kuna timu kubwa ngapi azijaenda kule kuna liverpool kuna barcelona kuna Arsrnal we ujiulizi kwanini araf kuna timu kama za akina chelsea atretical dotmund zimeenda na ubovu wao nikwasababu zilifanya vizuri myaka mnne ilio pita icho ndio kigezo chao nenda kasone...
  10. M

    point mpya za fifa club world cup 2029, simba aipo top 10

    Tofauti nikwamba izii ni Lank za FIFA na izoo unazosemea wewe ni Lank za CAF kwaio FIFA wanautaratibu wao na CAF. Wanautaratibu wao kulingana na ligi inayokwenda kuchezwa ligi ya FIFA inavigezo vyake ili wewe ukacheze na CUF inavigezo vyake ili wewe ukacheze ivyo uwezi tumia LANK za CAF kwenye...
  11. M

    point mpya za fifa club world cup 2029, simba aipo top 10

    Point ya msingi ni wewe kwenda kusoma vigezo ujionee
  12. M

    point mpya za fifa club world cup 2029, simba aipo top 10

    Uko sahihi kaka lakin kaa ukijua kila kitu kina strength na weakness zake lakin hapa mimi nakwambia vigazo vyao wanavyo viangalia wao atuwezi kutumia common sense kama unavyosema wewe akat wao washaweka wazi vigezo vyao labda wafanye reforms lkn bila ivyo icho ndio kigezo chao wewe kwenda...
  13. M

    point mpya za fifa club world cup 2029, simba aipo top 10

    Hapana sio kila mwaka hao wanne walio fanya vizuri mwaka huu ndio watakao kwenda kushiliki io 2029 kwaio sisi kama YANGA na SIMBA tujipange tufanye vizuri mwaka 2029 ilii tukashiliki mwaka 2033 wanacho angalia myaka nne ilio pita timu gan zilifanya vizuri ndii zinakwenda kwaio walio fanya vizuri...
  14. M

    Kwanini ni nadra kukuta wasabato matajiri?

    Sitajibu hata mmoja wataanza kunena kwa lugha hapaa 😂😂😂
  15. M

    point mpya za fifa club world cup 2029, simba aipo top 10

    Kaka izii ni lank za world cup sio lank za CAF izii ni lank kwaajili ya world cup 2029 ingikua lank za CAF sawa makolo wapo nafasi ya 4 lkn izii sio lank za CAF ninza FIFA izoo kwenda ukoo lazima ujioange vizuri
Back
Top Bottom