💪Yanga quality and strength yao ipo kwenye dimba la kati yani Midfielders wao ni wazuri kupiga pass (short,quick and accurate pass) pia ni wazuri katika ku control tempo ya mchezo.
Ukitaka kuwapiga kama Ngoma Pia udhaifu wao uko eneo hilo hilo
🦁Angalia First Half Mechi ya Simba na...
Yanga ni timu ya kawaida ila Mnaaminishwa kwa nguvu kubwa kuwa Timu yenu ni nzuri.CAF hakuna bahasha mkuu🤣🤣🤣 CAF watu wanavunja BANk! Kama wachezaji wameahidiwa $5000 kwa kila mtu kama wataifunga Yanga wakimtaka Refa mnaweza kupindua meza?
🤔Its time to wake up! Walimu wanatumiwa kama scapegoat tu na wanasiasa Censoring their ROT!
👀Amkeni Fuatilieni mambo ya Msingi sio kila siku Mwalimu
🤣Badala uwaze Bilion 100 za Ruzuku ya mafuta unamuwaza Mwl ngoja waanze kukulamba Tozo miamala ya Benki si mlikimbia M~pesa mkahamia Benk sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.