Mkuu em ingia YouTube check hii
McCain,Lindsey Graham and Amy Klobochur in Ukraine
Hv watu ni wageni sana wa US,kwani US ndo msafi wa hii dunia?
Zelensky anatumika tuu
Kikubwa tunaona kama Zelensky anapigana
Lkn ni pressure kubwa anayoipata to kwa Marekani
Marekani ndo mpango mzima na waliipanga hata kabla Mccain hajafariki
Hapo ni timing inatafutwa
Mrusi si Afghanistan,Zelensky yuko mtu kati anatumika na hana ujanja hata kiduchu
Ipo video Mccain na kiongozi...
Kwenye Tz hii mkuu umetusogeza wapi ww?
Umetumia lugha kali sana kwa hili kabila,ni vyema uwaheshimu na utu wao
Sie sote ni waTz ila lugha tunazotumia utadhani ni wanaharakati wa ubaguzi wa kiNazi
Ni vyema kama umeelimika tumia taaluma yako kuwanyanyua unaosimama nao Kwenye bendera 1
Chuki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.