Hufai hata kidogo, watoto WA maskin tunajua mchango wa form six leavers katka maendeleo yetu ya kielim, binafs nimesoma olevel bila kuwa Na walim wa sayans lakn n fom six haohao unaowapinga ndo wamefanya nkatuasu Na mpak Ss nasuburia matokeo nikiwa Kama muhitim wa PCB... Usipotoshe jamii bna
Naona ukoo unazid kkua Na kukua...mmmmh na mm nimo kwnye mnyororo wa fom six walio achwa na mh.JKT la msing ndug zangu tujtahd tupate la kufanya coz mwez wa kumi mbali na mtaa mgum balaa... Kwa mlioko whatsapp nna wazo moja, submit no yako Ili tufungue group tupeane mawazo naamin tukiwa Kama...
Habar zenu great thnkers..!! mm Ni kjan mweny elim ya kdato cha sita, napenda kuitumia fulsa hii kuomba msaada wenu wa kimawazo enyi wana jamii forum nikiwa na iman kuwa hii ndiyo sehem pekee ninayo weza pata mawazo chanya yatakayo niwezesha ku-move ili kulifikia lengo.... Nia na madhumuni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.