Haya nisikilizeni kwa makini nyie wote ambao hamuwezi kutongoza (madomo zege) ingawa mimi silipendi hili neno domo zege. Kwanza mnatakiwa kufahamu kuwa mwanamke ni kiumbe mwenye huruma sana na mwelewa ila hataki kujulikana udhaifu wake,hapa namaanisha hupima maneno ya mtongozaji na juyatafsiri kwa namna tofauti kabla ya kufanya maamuzi au kutoa majibu. Huwaza labda unamkejeli,humpendi na umemtamani,unataka kumchezea au unataka kulipa kisasi. Sasa inakubidi uwe makini kidogo kumwendea huyu kiumbe. Unapompenda mwanamke kikibwa kabisa peleleza rafiki yake au mtu wke wa karibu na umuulizie habari zake kwa uchokozi kisha omba namba yake ya simu ikiwa anayo. Jenga tabia ya kumsalimia kila uchao na kuonesha unajali kama umeamkaje leo,umeshakunywa chai,umeshafika kazini,umepata lunch,unatoka muda gani?,naweza kukupick ulipo nikupeleke home ,usiku mwema,njozi njema kisha chokoza niote hapo lzm atachokonoka tu. Mtoe outing kwa kumpeleka labd dinner au beacha kupunga upepo na kadalika,jaribu kuonesha mahaba kw vitendo zaidi kuliko maneno atakuona km tapeli. Umesafiri mletee zawadi hata ni pipi onesha unajali,usikwazike na kukata tamaa kwa vile hajakujibu msg kwa wakati,kachelewa kupokea simu n.k maana hujui yupo ktk mazingira yapi. Jenga tabia ya kumsifia hat kwa jambo dogo ataona unamjali na unamfuatilia kwani mwanamke hupenda mwanaume wA hivyo. Ukitumia mbinu hii kwa mwezi au miezi miwili mfululizo unatengeneza upendi na hisia kali mawazoni mwake kiasi kwamba km mwanaume alienae hafanyi hayo atajiuliza maswali kumbe kuna mtu anaempenda na kumjali kwanini asiwe nae?,ukikaa siku mbili bila kumtafuta ataanza kukusumbua lazima,upo,mbona kimya,umenisusa au nakubore ujue hapo mtoto kakolea mkukutana ukimpa busu tu ataweka shavu sawa umeibua ngoma mengine mtaelewana mbele ya safari. Hizo ni baadhi ya mbinu ya kumpata msichna umtakae ikiwa huwezi kutongoza hat kama ana bwana atamwacha wanawake wanapenda kujaliwa kwa vitu vidogo vidogo asikwambie mtu.