Nmeshindwa kupata mpenzi

Nmeshindwa kupata mpenzi

Haya nisikilizeni kwa makini nyie wote ambao hamuwezi kutongoza (madomo zege) ingawa mimi silipendi hili neno domo zege. Kwanza mnatakiwa kufahamu kuwa mwanamke ni kiumbe mwenye huruma sana na mwelewa ila hataki kujulikana udhaifu wake,hapa namaanisha hupima maneno ya mtongozaji na juyatafsiri kwa namna tofauti kabla ya kufanya maamuzi au kutoa majibu. Huwaza labda unamkejeli,humpendi na umemtamani,unataka kumchezea au unataka kulipa kisasi. Sasa inakubidi uwe makini kidogo kumwendea huyu kiumbe. Unapompenda mwanamke kikibwa kabisa peleleza rafiki yake au mtu wke wa karibu na umuulizie habari zake kwa uchokozi kisha omba namba yake ya simu ikiwa anayo. Jenga tabia ya kumsalimia kila uchao na kuonesha unajali kama umeamkaje leo,umeshakunywa chai,umeshafika kazini,umepata lunch,unatoka muda gani?,naweza kukupick ulipo nikupeleke home ,usiku mwema,njozi njema kisha chokoza niote hapo lzm atachokonoka tu. Mtoe outing kwa kumpeleka labd dinner au beacha kupunga upepo na kadalika,jaribu kuonesha mahaba kw vitendo zaidi kuliko maneno atakuona km tapeli. Umesafiri mletee zawadi hata ni pipi onesha unajali,usikwazike na kukata tamaa kwa vile hajakujibu msg kwa wakati,kachelewa kupokea simu n.k maana hujui yupo ktk mazingira yapi. Jenga tabia ya kumsifia hat kwa jambo dogo ataona unamjali na unamfuatilia kwani mwanamke hupenda mwanaume wA hivyo. Ukitumia mbinu hii kwa mwezi au miezi miwili mfululizo unatengeneza upendi na hisia kali mawazoni mwake kiasi kwamba km mwanaume alienae hafanyi hayo atajiuliza maswali kumbe kuna mtu anaempenda na kumjali kwanini asiwe nae?,ukikaa siku mbili bila kumtafuta ataanza kukusumbua lazima,upo,mbona kimya,umenisusa au nakubore ujue hapo mtoto kakolea mkukutana ukimpa busu tu ataweka shavu sawa umeibua ngoma mengine mtaelewana mbele ya safari. Hizo ni baadhi ya mbinu ya kumpata msichna umtakae ikiwa huwezi kutongoza hat kama ana bwana atamwacha wanawake wanapenda kujaliwa kwa vitu vidogo vidogo asikwambie mtu.
dhaaaaaa,!!!!!! Hi kali mtongozo wa sku moja uchukue 2 months
 
Haa haaaa Jf kuna machizii kweli umenichekeshaaa huyoo mbahili Nani kwa usawa huu anataka Janaume Suluali..Utasubiri sana Hata ukimpata Wa ivyoo juaa utasaidiwa tu..wanaume huwa mnakoseaga hapoo ylyaani unakuta MTU ana mpenzi hajui lotion take perfume Nguo take ya ndani..Basi huna mnunulie Hata Sabuni ya Mawingu.au mbuni Soap..ubahili wenuuu ndoo unaofanya mpigie Mechi halafu mnakuka kulialia hapa..sikatai wapi wanawake ambao hawaridhiki Hata umpe ilaaa Idadi ukilinganisha na wanaoamua kubadili mawazo kwa jili ya Jamaa kuwa mbahili na kutojari kanuni yaa mapenzi toka kwa mwanaume kwenda kwa mwanamkee ni.wengi....Mfano tuchukulie Kampuni inayojiweza na isiyojiweza IPI utapata tenda.za uhakika..ni Kampuni inayojiweza..Kanisani Muumini anayetoa mafungu na Asiyetoa Nani anashirikishwa kwenye maamuzi nyeti??jibu usinipee...Hata Baba na mama sana watoto 2 anayejari na anayekumbuka nyumbani wakirudi woote rikizo kusalimia Ammini usiamnini atakayenyekewa na kuulizwa soda na Hata usiku kutandikiwa Godoro na shuka safi ni yule anayejari Hata kama ni Mdogo..wewe mkubwa na ubahili wako au kutokuwajibika utaombwa samahani tu kwamba huyu ataumia akilala kwenye mkeka..Sasa wewe utakayekuja kubisha hiki bisha tu..But the Fact will remain there!!
Umeongea ukweli mtupu mdada.

Mimi ni mtoaji mzuri na muhongaji pia.

Vipi naruhusiwa kukutembelea PM??

Hutojuta hakyanani.
 
Back
Top Bottom