Hivi kwa nn serikali isiingilie kufungia hii so called Qnet watu wanatapeliwa jmn unaambiwa pesa itarudi lkn ukweli hata anaekuambia pesa inarudi hali yake ni mbaya anamadenii kama yotee jmn mimi ni muhangaaa 🙆♀️🙆♀️🙆♀️..Vijana wanaingia mikopo ya riba kubwaaa wanarudi to zerooo daah
Note ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.