Recent content by Miss Halima

  1. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Rafiki wa Davido afariki akijaribu kuongeza uume

    Mfanyabiashara raia wa Uingereza na Nigeria, pamoja na influencer wa mitandao ya kijamii ambaye pia ni rafiki wa Davido, Igho Tiny Ubiribo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 43 baada ya kufanyiwa utaratibu wa kuongeza ukubwa wa uume akiwa nchini Thailand. Kwa mujibu wa taarifa...
  2. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Dola Yapungua Nguvu Dhidi ya Shilingi ya Tanzania $1

    Mabadiliko ya viwango vya kubadilisha fedha tarehe 2 Septemba 2026 yanaonesha kuimarika kidogo kwa Shilingi ya Tanzania (TZS) dhidi ya Dola ya Marekani (USD) na Rand ya Afrika Kusini (ZAR). Viwango vya Mabadilishano (NMB) Dola ya Marekani (USD): Bei ya kununua imeshuka hadi Sh2,590 (kutoka...
  3. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Fabrizio Romano Atambulisha Jezi za Ligi ya Mabingwa za Yanga

    Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imefanya tukio kubwa la kimasoko baada ya kumtumia mwandishi maarufu wa habari za michezo duniani, Fabrizio Romano, kutambulisha jezi zao mpya zitakazotumika kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) msimu wa 2026/2027.
  4. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Makamu wa rais Ndejembi aagiza saruji kushuka bei

    Makamu wa Rais wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, ameitaka Wizara ya Viwanda na Biashara kukaa meza moja na wazalishaji wa saruji nchini ili kuweka mikakati ya haraka itakayohakikisha bidhaa hiyo inapatikana kwa wingi na kurejea katika bei nafuu ya awali. Ndejembi ametoa agizo hilo jana jijini...
  5. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Serikali yaweka mikakati elimu ya lazima ya miaka 10

    Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha sekta ya elimu kwa kuongeza miaka ya elimu ya lazima, kupanua fursa za elimu ya sekondari na kuimarisha mafunzo ya ufundi ili kuwapa vijana uwezo wa kushiriki kikamilifu katika soko la ajira. Akizungumza Septemba 02, 2026 jijini Dodoma na Balozi...
  6. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania YJ Kiboko; Bora Mbuzi Utakula Nyama Kuliko Chanuo Atakuchanua Ngozi

    Msanii wa Bongo Flava, YJ Kiboko, ameibuka na kufunguka kuhusu taharuki inayoendelea kwenye mitandao ya kijamii ikimhusisha yeye na aliyekuwa mke au mpenzi wake, Chanuo. YJ Kiboko ameeleza kuwa amekuwa akipokea simu nyingi kutoka kwa watu mbalimbali wakimuuliza kuhusu maneno na matusi...
  7. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Diddy, Christian Combs, Aomba Baba Yake Aachiwe Huru Kutoka Gerezani

    Mwanamuziki Christian "King" Combs, mtoto wa rapa na mfanyabiashara maarufu Sean "Diddy" Combs, ametoa ombi la wazi akitaka baba yake aachiwe huru kutoka gerezani . Akiwa kwenye 'live stream' na mtayarishaji wa maudhui DDG, Christian aliangalia kwenye kamera na kurudia maneno "Free Puff" mara...
  8. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Maimartha Afichua yaliyojiri kati ya Diamond Platnumz na Ashurey Rwanda, Zari alipiga simu

    Mtangazaji na mwanahabari wa burudani, Maimatha, ameibua gumzo mtandaoni baada ya kutoa madai na maelezo kuhusiana na uhusiano wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, na mnenguaji wake, Ashurey Rwanda. Katika maelezo hayo yaliyowekwa kwenye chaneli ya 2GETHER online, Maimatha amedai kuwepo...
  9. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Carry Mastory Avujisha Sauti ya Hamisa Mobetto Kuhusu Baba Mzazi wa Mtoto Wake (Dylan)

    Mambo mapya yameibuka kwenye mitandao ya kijamii baada ya aliyekuwa mwanahabari wa burudani, Carry Mastory, kuzungumzia sakata linalomuhusu mwanamitindo Hamisa Mobetto na kuvujisha sauti (voice note) inayohusu utambulisho wa baba mzazi wa mtoto wake, Dylan . Katika maelezo hayo, Hamisa Mobetto...
  10. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Maua Sama atangaza kujifungua mtoto wa kike

    Msanii wa Bongo Fleva, @mauasama ametangaza kujifungua mtoto wa kike, akifichua habari hiyo kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mitandao ya kijamii. Maua Sama amemkaribisha duniani mtoto huyo huku akieleza kuwa ujio wake umeleta furaha na baraka kubwa katika maisha yake. “Welcome to the World...
  11. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Uganda yajitoa AFCON U-23 kisa ukata wa fedha

    Timu ya taifa ya Uganda ya vijana chini ya umri wa miaka 23 ‘Kobs’, imejitoa kwenye mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana weny umri chini ya miaka 23 (AFCON U23) 2027. Uamuzi huo umekuja baada ya Shirikisho la Soka Uganda (FUFA) kushindwa kupata fedha za kutosha...
  12. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania MPYA Wanyama wa kufugwa kama paka na mbwa wanaweza kuwa na mzio (allergy) dhidi ya binadamu

    Kumekuwa na madai yanayosambaa kuwa wanyama wa kufugwa kama paka na mbwa wanaweza kuwa na mzio (allergy) dhidi ya binadamu, hali inayodaiwa kusababishwa na mwili wa mnyama kuitikia kwa njia isiyo ya kawaida baadhi ya vitu vinavyopatikana kwa binadamu, kama vile chembechembe za ngozi, jasho au...
  13. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Wanaume wanao wahi kufika kileleni wakamatwe

    Mkuu wa Majeshi ya Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amezua gumzo kubwa leo tarehe 2 Septemba, 2026 baada ya kuandika ujumbe huo tata kupitia akaunti yake rasmi ya mtandao wa kijamii wa X (zamani Twitter). Katika chapisho hilo, Jenerali Muhoozi alitangaza kuwa wanaume wanaoshindwa kuvuka...
  14. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Mpasuko Mirathi ya Rwakatare: Mawakili wa Familia Wamkana Tibe, Wataka Bilioni 5 na Msamaha

    Mawakili wa familia ya marehemu Askofu Dr. Gertrude Pangalile Rwakatare na Kampuni ya St. Mary’s International Academy Limited, wakiongozwa na Wakili Derick Paschal, wamejitokeza na kukanusha vikali tuhuma zilizotolewa na Tibe Kenneth Rwakatare pamoja na mawakili wake,. Wameeleza kuwa madai...
  15. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Mwijaku na Dotto Magari Watibuka; Wavutana Kuhusu Umiliki wa Nyumba na Kipimo cha VVU

    Chaneyo kikuu cha timbwili hilo kilikuwa ni mashambulizi binafsi kuhusu umiliki wa mali na masuala ya afya, ambapo wawili hao walirushiana maneno mazito na kutaka kuingia katika ugomvi wa kimwili. Katika upande wa umiliki wa nyumba, Mwijaku alimkabili Dotto Magari na kuhoji ukweli wa ghorofa...
Back
Top Bottom