Gwiji wa soka duniani, Luis Figo, ametoa mashambulizi makali dhidi ya Rais wa Shirikisho la Soka la Duniani (FIFA), Gianni Infantino, akimtaka aondoke madarakani mara moja akidai uongozi wake umeathiri heshima ya taasisi hiyo kubwa ya soka. Mchezaji huyo wa zamani wa Ureno amedai Infantino...