Recent content by Miss Halima

  1. M

    JamiiForums Tanzania Zari; kuchepuka kwa mwanaume asiyekuhudumia sio usaliti ni kujihami

    Mwanamama Zari Hassan (45), anayejulikana zaidi kama Zari The Boss Lady kutokea Uganda amezua mjadala mzito baada ya kudai kuwa kuchepuka kwa mpenzi wako asiyetoa msaada wa kifedha "siyo usaliti bali ni namna ya kujihami." Alizungumza hayo katika mahojiano na moja ya Podcast, alisema...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Simba kununua uwanja Geita na kujenga ofisi

    Mashabiki wa Klabu ya Simba wa Tawi la UWASINYA lililopo katika Kata ya Nyarugusu, Halmashauri ya Wilaya ya Geita Mkoani humo, katika kuelekea Msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC), wamesherehekea Simba Day kwa kujenga Mnara mrefu. Zaidi ya Mashabiki 300 wamehudhuria sherehe hizo. Akizungumza...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Luis Figo amtaka Ifantino kujiuzulu

    Gwiji wa soka duniani, Luis Figo, ametoa mashambulizi makali dhidi ya Rais wa Shirikisho la Soka la Duniani (FIFA), Gianni Infantino, akimtaka aondoke madarakani mara moja akidai uongozi wake umeathiri heshima ya taasisi hiyo kubwa ya soka. Mchezaji huyo wa zamani wa Ureno amedai Infantino...
  4. M

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Samia; nimekiri nimekosea

    kuna uvumi wa taarifa inayosambaa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan akiri kuwa amekosea . Je taarifa hii ni ya kweli ama ni uzushi?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Akamatwa hospitali kwa kujifanya mtoa roho

    Mwanamume mwenye umri wa miaka 26 nchini Wales amekamatwa baada ya mamlaka kusema alipanda juu ya paa la hospitali akiwa amevaa mavazi yanayofanana na “Grim Reaper” (Mtoa Roho) na akasimama kimya akiwaangalia wagonjwa, wageni na wafanyakazi kwa karibu saa moja. Polisi wanasema Leon Gillespie...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ahmed Ally; nitaingia na ungo uwanjani

    Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally ametanabaisha kwamba siku ya Simba (Simba Day) Jumamosi Agosti 8, 2026 ataingia Uwanjani kwa namna ya tofauti ambapo ataingia kwa kupaa na ungo.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Infantino aomba radhi, Wajumbe wamuunga mkono bado ni Rais wa FIFA

    Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino, ameomba radhi kwa makosa yaliyofanyika katika mpango uliokuwa ukilenga kuuza sehemu ya hisa za mashindano ya FIFA kwa wawekezaji binafsi kupitia kampuni tanzu ya FIFA Forward Enterprise (FFE). Licha ya kukosolewa vikali, viongozi wakuu...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Vin Jr, afuta post zake zote instagram

    Winga wa Real Madrid, Vin Jr amefuta picha zote kwenye mtandao wake Instagram leo Jumatano Agosti 5, 2026. Winga huyo ambaye anahusishwa na Arsenal amefuta picha zote kwenye mtandao huo pamoja na kuondoa 'pofile' picha pamoja na utambulisho wa Real Madrid.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Je, Ni Lazima Mpenzi Ajue Password ya Simu Yako?

    Wapo wanaosema kwamba mpenzi anapaswa kujua password ya simu ya mwenzake kwa sababu mahusiano yanajengwa juu ya uwazi na uaminifu. Kwa mtazamo wao, mtu asiye na jambo la kuficha hana sababu ya kukataa kushiriki password yake. Lakini wapo wanaopinga hoja hiyo wakiamini kuwa kuwa kwenye mahusiano...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa FIFA Gianni Infantino aitisha kikao cha dharula

    Rais wa FIFA Gianni Infantino amewaita viongozi wakuu wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwenye mkutano nchini Morocco siku ya Jumatano, tarehe 5 agosti, kufuatia siku nyingine ambapo rais wa shirikisho hilo amekabiliwa na ukosoaji mkali kuhusu mpango wake uliositishwa wa kuuza hisa za...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Je, wajua wimbo wa "Mirror" ulielezea upande wa pili wa maisha halisi ya Lil Wayne

    Nyuma ya mafanikio makubwa ya Lil Wayne kwenye Hip Hop, kuna upande wa maisha yake ambao watu wengi hawaujui; upande wa kutafakari, kukubali makosa na kujitafuta mwenyewe. Huu ndio ujumbe uliobebwa kwenye wimbo wake “Mirror” aliomshirikisha Bruno Mars. Wimbo huo uliotoka mwaka 2011 ukiwa sehemu...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Coca-Cola: Kutoka Dawa Hadi Kinywaji Kinachotambulika Duniani

    Coca-Cola ni miongoni mwa vinywaji vinavyotambulika zaidi duniani, lakini wengi hawajui kuwa mwanzoni hakikutengenezwa kama kinywaji cha kawaida. Mwaka 1886, mfamasia wa Marekani John Stith Pemberton alikitengeneza kama dawa iliyodaiwa kusaidia kupunguza uchovu, maumivu ya kichwa na matatizo ya...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kuagiza mafuta ya kula nje ya nchi ikiwa tuna uwezo wa kuzalisha mafuta nchini?

    Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego, amesema Tanzania inapaswa kuongeza uzalishaji wa mafuta ya kula ili kupunguza utegemezi wa uagizaji kutoka nje na kuokoa matumizi ya fedha za kigeni. Akizungumza katika Kongamano la Uwekezaji katika Tasnia ya Mafuta ya Kula lililofanyika wakati wa...
  14. M

    JamiiForums Tanzania KWELI Fanz Riechelt alifariki alipokuwa wakati akivanya majaribio ya uvumbuzi wake wa Parachuti

    Mnamo mwaka 1912, mvumbuzi na fundi nguo Franz Reichelt alipoteza maisha baada ya kuruka kutoka Mnara wa Eiffel nchini Ufaransa akijaribu kuvumbua vazi la parachuti aliloamini lingeweza kumnusuru mtu anayeanguka kutoka juu. Jaribio hilo lilifanyika mbele ya mashuhuda na kurekodiwa kwa kamera...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Neo Maema akaribia kurejea Simba SC kwa mkopo kutoka Mamelodi Sundowns

    Kwa mujibu wa Mwandishi Lorenz Köhler amesemea kuwa kiungo mshambuliaji Neo Maema anatarajiwa kurejea Simba SC kwa mkopo akitokea Mamelodi Sundowns kwa msimu wa 2026/27. Simba SC na Mamelodi kukamilika, Klabu hizo zipo katika hatua ya mwisho ya mazungumzo kumruhusu Maema kurejea Simba SC...
Back
Top Bottom