Recent content by misnomer

  1. misnomer

    KERO Responded TRC sehemu ya kununua tiketi za SGR online haifanyi kazi, shughulikieni

    Leo pia tiketi hazitoki. Ukishamaliza kuchagua behewa na siti ili upate control number kwa ajili ya kulipia, inakwamia hapohapo haiendi tena hata ukisubiri masaa hakuna kitu!!
  2. misnomer

    Nina safari nje ya Dar kwa siku tatu, ningependa kupark gari JNIA ili nikirudi niichukue

    Tatizo hizo namba hazipatikani. Kuna mwenye update?
  3. misnomer

    Nifahamishe kituo cha watoto yatima chenye uhitaji mkubwa sana

    Kama kipi kilicho halisi. Tafadhali toa mfano cha wamiliki wenye wito.
  4. misnomer

    Natafuta dawa ya kuua kicheche

    Mawasiliano mtego wa vicheche yapo hapo
  5. misnomer

    Zipi faida za kusafirisha Full Container au Loose cargo from China?

    Shukrani na hongera sana kwa kuanzisha huu uzi. Nikiwa na mzigo china, say machinery uko tayari kwa kuchukuliwa kutoka kiwandani, na unatosha kabisa kujaza kontena. Je shipping agent wa hapa TZ anaweza kutuma contena kiwandani kwenda kuuchukua na kuusafirisha kuja TZ, au mi ndo mwenye wajibu wa...
  6. misnomer

    INAUZWA Concrete Mixer inauzwa bei nafuu

    Bado iko sokoni?
  7. misnomer

    Naomba mnifahamishe bei ya jumla jumla ya nondo yaan kwa tani

    Vipi kwa upande wa Mwanza, bei zikoje kwa sasa (8mm, 12mm na 16mm) kwa tani moja?
  8. misnomer

    Balaa la Mkuyati

  9. misnomer

    INAUZWA Matairi Mapya Ya Bridgestone Yanauzwa

    Poa nitakuja. Vipi pia kuhusu 205/75R16
  10. misnomer

    INAUZWA Matairi Mapya Ya Bridgestone Yanauzwa

    Mkuu mkweche wangu unatumia size 195/80R16. Je unazo? Moja bei gani, na nikichukua nne utaniuziaje?
  11. misnomer

    Muuza Machungwa

  12. misnomer

    Shida iko hapa - kwenye mahusiano!

  13. misnomer

    Msaada: Nahitaji Matairi mapya ya gari

    Hiyo offer ya kupata tairi moja bure bado ipo? Bei ya BF Goodrich size 235/85R16 kwa sasa imekaaje?
  14. misnomer

    If Trump wins election

    Nilivyoelewa Wamarekani weusi kama akina Jay Z, Kanye West na wengine watarejeshwa Afrika.
Back
Top Bottom