Msaada: Nahitaji Matairi mapya ya gari

Msaada: Nahitaji Matairi mapya ya gari

Mie nilinunua Good Year toka Mlimani City. Bei zao ni reasonable, nilichukuza za size 195/70R15 kwa 120,000/-. Ni nzuri, nimepiga nazo mkoa several times. Bora ukanunua matairi mazuri has kama una safari za mbali ambazo zitakuhitaji kwenda above 120 Kph, zitakuepusha na matatizo.

....Thanks for info Idimi. Hiyo bei ni nzuri kiukweli. Ulinunua mwaka gani? ns specifically sehemu gani ya mlimani city, au kuna agent wa goodyear pale?
 
bf ndo tairi
rav 4 yangu nilifunga 4 years ago
tairi moja 4.75 laki
nunua nne upate moja bure

Thanks vaikojoel kwa ushuhuda on BF. Kwa bahati mbaya niliwauliza Superdoll ambao ndo agents wa hizo tairi wakaniambia huwa hawana za size hiyo niitakayo ya 215/60 R16
 
Napend kumunga mkono Richard hapo juu matairi kweny gari ni uhai wko! Tc gud ujikaze upate BF Goodrich hayo matairi ni imara sana kw maoni yngu

..Bf was my choice mwanzoni, but walisema huwa hawana size niitakayo mie (i.e 215/60 R16). thanks
 
..Asanteni acheche, aye na rmashauri na wadau wengineo kwa ushauri wenu.
 
Kuna duka linaitwa dallas kkoo huu mtaa karibu na fire nilichukua pale juzi

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums

Asante ladykim. Hao dallas walikuuzia brand gani ya matairi?
 
....Thanks for info Idimi. Hiyo bei ni nzuri kiukweli. Ulinunua mwaka gani? ns specifically sehemu gani ya mlimani city, au kuna agent wa goodyear pale?

Nilinunua Novemba 2012.
Ni duka la Good Year, lipo mkabala na benki ya NMB ya Mlimani City, mle ndani. Wanauza brand hiyo tu.
 
Nilinunua Novemba 2012.
Ni duka la Good Year, lipo mkabala na benki ya NMB ya Mlimani City, mle ndani. Wanauza brand hiyo tu.

Asante once again. Ntaenda kucheck hapo. Ubarikiwe ndugu.
 
Tairi ni Wanli ni bora kwa matumizi ya barabara zetu na ni bei nzuri sana yanapatikana Kariakoo
 
Poleni kwa majukumu wana JF wenzangu.
Naomba mnijulishe aina nzuri ya matairi ya gari na mahali ninapoweza kuyapata lakini yasiwe mojawapo ya brands zifuatazo: Bridgestone, BF Goodrich, Dunlop, Grandtrek, Michelin na Goodride.
Uwezo wangu ni kulipia sh 200,000/= (laki mbili tu kwa kila tairi) na size ya matairi ninayohitaji ni 215/60 R16.
Ninatanguliza shukrani zangu.


Mkuu yani low profile ya izo verosa, brevis nk nk lakini hutaki Dunlop, goodrich, goodride na jamii nzima? Hauwezi ukawa hauko serious!! Usisikilize stori za kitaa hata basi Google uone best tyre ni zipi na best world sold ni zipi. Zamani nilisikiaga utani kwa wasukuma mwanza eti mtu anafka kununua shati anaulizia "nahitaji iloo shati apo juu, sio ilo, lile buana la laki moja ....tairi ya laki2
 
Mie nilinunua Good Year toka Mlimani City. Bei zao ni reasonable, nilichukuza za size 195/70R15 kwa 120,000/-. Ni nzuri, nimepiga nazo mkoa several times. Bora ukanunua matairi mazuri has kama una safari za mbali ambazo zitakuhitaji kwenda above 120 Kph, zitakuepusha na matatizo.
Mkuu sasa iyo si size ya collora na izo raum, vitz nk nk ...ndio bei zake. Huwezi kupata 215 r16 kwa bei iyo...labda za ujanja ujanja. Kwa size za 215 225/45/60 r16 r17 tyre za triangle ndio cheap.
 
Nawashukuru Gsana, Mcharewamwika na Osaba kwa ushauri wenu. Hata hivyo nilishanunuaga Goodride brand tangu wakati huo nikiomba ushauri (mwaka 2013) na mpaka leo zinadunda fresh...
 
bf ndo tairi
rav 4 yangu nilifunga 4 years ago
tairi moja 4.75 laki
nunua nne upate moja bure

Hiyo offer ya kupata tairi moja bure bado ipo? Bei ya BF Goodrich size 235/85R16 kwa sasa imekaaje?
 
Hiyo offer ya kupata tairi moja bure bado ipo? Bei ya BF Goodrich size 235/85R16 kwa sasa imekaaje?
mkuu sipo sure, nilikua napata hiyo offer wakati nipo arusha,
kwa sasa nipo mbeya mkuu
 
Kwa haya matairi ya kichina brand ipi ni bora kwa safari za mikoani
 
Kwa wale tusio na safari ndefu, WANLI inatosha, matairi imara na bei sio mbaya sana. Hapa aina ya tairi inategemea sana na aina ya shughuli ambazo gari inazifanya. Mtu mwenye safari za mara kwa mara mikoani atahitaji tairi za aina tofauti na yule wa gari ya kwenda na kurudi kazini.
 
Back
Top Bottom