We nawe na haka kapeji kako kamoja kila siku ...[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]..huna jipyaa hii. Hii kila siku ... Broo BONGO HUIWEZI tulia tyuu na haka kapicha kako. Huko SLUMS DWALF ...HUKO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni duniani tyu kwani huko duniani hawajaskia ......halafu ndo wanakuja hao wazungu kutalii huku nchi njema ya maziwa na asali ......so hii ni kwadunia yote .....sio africa tyuu
[emoji41][emoji41][emoji41]ebu we ulieelewa tupe somo wewe umeelewaje hapo .....maana mi naona huyo bibi anjela kaamua kuzitupa sasa sijelewa kwamba ni hovyo hizo chanjoo au vip em tupe ILIMU hapa
[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani mna vituko humu ndani naona huyo KENGE anamdharau kiongozi wake ....halafu bado anaendelea kujaza sever za hii nchi. Mi namshauri aondoke tuu aende kule kwa bwabwa mwenzie huko sijui wapi ....huko bigijiii akatafunwee
Sasa kama ni hiari ya mtu .......vilevile ni hiari ya viongozi wanaongoza nchi yetu ...kuikubali hiyo chanjo au laa ......TUSIPANGIANE NAMNA YA KUISHI KWENYE HII FREE ZONE WORLD WIDE
Sasa kama ni hiari ya mtu .......vilevile ni hiari ya viongozi wanaongoza nchi yetu ...kuikubali hiyo chanjo au laa ......TUSIPANGIANE NAMNA YA KUISHI KWENYE HII FREE ZONE WORLD WIDE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.