huyu si ndio mshauri wa mahaba sijui hivi vitoto vinajua ndoa ni kuliwa mbususu tu
unaondoka alafu unaandika mitandaoni vitoto vijinga kabisa kesho utasikia kimekua mtetezi wa haki za wanawake ,nyie vizazi vya mitandao ya kijamii itachukua karne nzima kujua mmearibiwa
mi nadhani yeye alitakiwa ajivunie kuona watu wanazungumza kiswahili kwakua ndio lugha ya africa kwa sasa sasa anazunguzia lugha mbona waarabu awajui kingereza na wamepiga hatua kubwa sana hao ndio watalii wa mchongo wa LGBTQ
mi nadhani pia mtoa huzi kitaaluma zaidi pia ilibidi umsaidie huyo daktari kumueleza juu ya umuhimu wa physical examination haswa kwa wagonjwa wenye complain ya shida ya moyo na mapafu kwanza alafu ndio uje kuongea jf lakini pale umeshindwa kumsaidia unakuja kuongea hapa je tatizo ni nani sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.