Recent content by Mis powers

  1. Mis powers

    Rais Samia kuipa Taifa Stars Tsh. Bilioni 1 ikishinda ubingwa wa CHAN 2024

    Mama kaahidi sababu anajua kichwa cha mwendawazimu hakifiki popote
  2. Mis powers

    Miaka 15 hivi iliyopita jamaa yangu alioa mwanamke ambaye walikuwa wamekutana miezi kama 3 tu iliyopita

    Tatizo huyu jamaa alipuuzia dalili za awali kabla hajamuoa, zilishaonesha huyu siyo mke bali mdangaji, lakn aliamini ndoa itambadilisha, oyaa! unapooa mtu ina maana umekubaliana kuishi nae kwa madhaifu yake yote na tabia zake, tena kwenye ndoa watu ndio huachiaga makucha yao yote.. Dalili ya...
  3. Mis powers

    Niliyetaka kumuoa kanidanganya kuwa mama yake amelazwa ICU nitume hela ya mchango

    Ach a ubahili, yawezekana kila akikuomba ela mizungusho sana na pia labda humpi, yaan hiyo elfu 50000 ndio ikufanye ufike kwao!, mwana tafuta ela😂 elfu 50 haiwezi kuvunja penzi kirahisi hivyo labda kama una yako mengine
  4. Mis powers

    "Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

    Mwaka wa kumi huu, ila tunaonana kila baada ya miez miwili au mitatu
  5. Mis powers

    Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

    Mkija kukosa wanaume wa kuwaoa baadae mnaanza kulalamika, unakuta tako huna sura nzuri huna, mguu huna, unategemea umebakisha nn kama siyo matiti tu, watoto mvumilie kuangaliwa popote😂
  6. Mis powers

    Mbu wa Dar ni mdebwedo

    Na bado wanaume wa Dar wanaumwa malaria, wanakunywa ALU😄
  7. Mis powers

    Mishahara imechelewa kutoka June 2024, watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

    Hilo zoezi la kurekebisha walikuwa hawalijui miezi yote iliyopita mpaka wasumbue watu tarehe za mwisho
  8. Mis powers

    Nimempa tunda ‘mubaba’, sasa yamenikuta

    Ulifanya bila kinga? Au mlipima? Kama haumkupima nenda hospital ukafanye vipimo vyote vinavyotakiwa kwa ajili ya afya
  9. Mis powers

    Naomba kujuzwa suluhisho la Uvimbe kwenye Ovary

    Na hiyo inatokea hasa mwanamke anapochelewa kuzaa, japo siyo lazima kwa kila mtu.
  10. Mis powers

    Je, Bajeti yetu ni Bora sana? Mbona tuko kimya sana? Vijana Kenya wanaandamana

    Tanzania hatunaga muda na vitu vya maana, ila ukija ujinga ujinga ndio tunausikiliza na kuentertain
  11. Mis powers

    Luis Miquison kuachwa ni pigo kwa Simba SC

    Huwezi kulipwa mshahara mkubwa vile alafu uje uanzie benchi
  12. Mis powers

    Nimedondokea Penzi na Mdada "Tom-Boy"

    Ukiacha ulimbukeni utapona hilo tatizo
  13. Mis powers

    Nimedondokea Penzi na Mdada "Tom-Boy"

    We umedandia choo cha kike,[emoji1] yaan demu wako mwenyew ndio anakuonyesha tako la mwanamke mwenzie aisee huna demu hapo upo na mwanaume mwenzio[emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom