Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,837
Paka wa dar hawakati panyaJiji lipo resi sana mbu nao lazima wataabike
mbu wa dar hawana maajabu...
Wanaume wa dar.....
Paka wa dar hawakati panyaJiji lipo resi sana mbu nao lazima wataabike
We mbu wangu njoo uninyonye damu 😎😂😂😂🙌🏾
Umejuaje kuwa wanaume wa ...............Paka wa dar hawakati panya
mbu wa dar hawana maajabu...
Wanaume wa dar.....
😂😂 Najuta kukufahamWe mbu wangu njoo uninyonye damu 😎
Nakusubir uje uninyonye 😎😂😂 Najuta kukufaham
Shindwa pepo 😂Nakusubir uje uninyonye 😎
Kwan hutaki kuninyonya?Shindwa pepo 😂
😬😬😬.. Mbu zinanyanyua net ndio zinaingia
. Mbu ukimpush ni mzito na ndo umemtia hasira
![]()
wamesemwa sana wanaume wa dar et wanaogopa hata mendeUmejuaje kuwa wanaume wa ...............
Dah nimelia sana 😭
mijusi ndo kabisa, akimuona mjusi haiingii ndaniMijusi vp?
😀😀😀hii itakua sio malariaMalaria yao ukinywa maji mengi tu inaisha chap!