Recent content by mis jay

  1. M

    Chonde chonde dada yangu Lady Jaydee

    sana tu,huwa haaribu.
  2. M

    Mgao wa mali za Jide, Gadner 'UTATA'

    Ye ameshafaidi alipokuwa nae,sasa awaachie wenzie.ye c anajifanya kidume akatafute sasa nahao wanawake zake waliokua nao.
  3. M

    Jay Dee alipigwa na mume wake au?

    kweli kuna watu hawabebeki duu.wanaume wapigaji ni Majanga
  4. M

    Exclusive: Matano aliyoyasema Alikiba kwenye interview na DSTV

    Hahahaa,kiba mwenyewe anamsikiliza Chibu,kazi kwako.
  5. M

    Jaydee huu ni utoto sana tena sana

    Mmh Yahaya mbona yakitambo jamani?Nibwebwe tu hizo usiogope.
  6. M

    Kwa waliokosa mkopo

    Nakozi pia inamata kijana.engineer na mwl ndo kipaumbele.ila pole sana najua unaumia.
  7. M

    Lucy Komba: Nimeishi na mr. Wiki mbili tu

    mmh.majungu hayo.kwani kajiongelesha mwenyewe c magazeti ya udaku ndo yanamwuliza.kaaaa!
  8. M

    Banana Zoro rudi kwenye muziki tumechoka na kelele za Diamond

    hahaha!nakitawauma sana!
  9. M

    Martin Kadinda, manager "MPYA" wa Lulu Michael

    kumchukia mtu asie wajua mnajisumbua bure.
  10. M

    Diamond Platinum aziponda Hotels za Mbeya

    Umemsikia mwenyewe?au umeadisiwa tu?
  11. M

    Je itakuwa mimba au ?

    Hawezi kupata.may be amekudamganya hakufany that day.alafu kubadilisha hali ya hewa kunaweza kuchelewesha bleed au kukosa kabisa.
  12. M

    Ladies these are the 7 ways to get your man to talk

    Mengine magumegume hata umfanyie hayo yote!bd majanga.
  13. M

    Diamond alalamika baada ya show yake Ujerumani kuvurugika

    Yeye hana kosa ni promota huyo ndo kazingua according to Diamond!
  14. M

    Mbowe apata mpinzani uenyekiti CHADEMA, ni Kansa Mbarouk

    Zitto ndo alikua anafaa!
Back
Top Bottom