Recent content by Mirror X

  1. M

    Mange Kimambi kuja na maandamano nje ya World Bank HQ; huu mkakati umenishtua sana

    Asipojua kilichomwangusha,ataendelea kuanguka tena na tena.Watu wengi walishajaribu kuivuruga Tz lakini hawajawahi kufanikiwa.There is more than human effort.
  2. M

    Those behind this will pay the price

    Is Tanzania's peace man made? How did it manage to survive many coups,how has it managed to escape internal conflicts for all these years?,how did it defeat Uganda during the war,how has it managed to handover power peacefully for all these years?How did it survive chaos during 2015 general...
  3. M

    Askofu Fredrick Shoo: Wale wote wanaojaribu kupotosha ukweli wa waraka wa Maaskofu kwa kuupaka matope ni wajinga

    Ila maaskofu Nadhani mmeingia kwenye mtego.Biblia inasema kushindana kwetu si kwa damu na nyama bali ni juu ya pepo wachafu na nguvu za giza.Mi Nadhani sasa mnapambana kibinadamu.Mnasahau mna nguvu kuu itokayo mbinguni.Mbele ya Mungu hakuna kinachoshindikana.Kwa sasa mi naona mtashindwa ktk...
  4. M

    Waraka wa Maaskofu KKKT: Tunasikitishwa na matukio ya kupotezwa watu, kubanwa kwa Uhuru wa Mahakama, Bunge na Tume ya Uchaguzi...

    Maaskofu wa KKKT wametoa waraka mzuri sana kuhusu nchi yetu.Naamini walichoongea wamekipata toka kwa Mwenyezi Mungu.Hatari ni kama ujumbe huo umetokana na matakwa yao.Mungu hadhihakiwi.Mungu yuko Hai.Mungu hutoa mapigo kwa wale wanaolitumia jina lake kwa manufaa yao.Naamini mnamkumbuka Baalamu...
  5. M

    Tetesi: Miezi michache tu mbele wapo watumishi wa umma watakaotoa pesa kwenye ATM machine huku wanatoa machozi.

    Tofauti ilikuwa kubwa mno, wakati wote ni watumishi wa serikali na soko ni moja.
  6. M

    Zitto: Upinzani adui yetu ni CCM, tuweke kando tofauti zetu tushirikiane tuhakikishe kata 3 za Dar CCM haipati hata moja

    Kwa sasa hivi anajitahidi sana kutoa matamko akitaka kuonekana ni Mbadala wa Tundu Lissu.Anaamini CDM watampendekeza kugombea urais msaliti mkubwa
  7. M

    Nini chanzo cha bifu kati ya Mkuu na Diallo?

    Nadhan Dialo amejichanganya sehemu
  8. M

    Fedha za MCC ni kusuka au kunyoa

    Kunyimwa fedha za MCC ni zaidi ya uchaguzi Znz na sheria ya mitandao. Hii ni vita baridi China vs Marekani. Marekani iliiona Tz ndiye rafiki mkubwa Afrika Mash.tangu iachane na ujamaa na kukumbatia utandawazi na siasa ya vyama vingi ambazo ndizo Sera za Marekani.Ndiyo maana kila rais wa...
  9. M

    Ukiona wamarekani wanakuchukia ujue uko sahihi

    Marekani haina uchaguzi Bali watalazimika kuipenda Tanzania kama wanavyoikumbatia Israel.Chili no Taifa la Mungu.Ni Taifa la with we ye nguvu wakanyagao watu.Soma Isaya 18.Taifa chili limekuwa kimbilio LA mataifa jirani yanapoingia kwenye migogoro,lilikuwa kituo kikuu cha wapigania Uhuru...
  10. M

    Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

    Ama kweli mwaka huu huu mambo.Wafanyabiashara Mtwara tuliokubali kufunga maduka kila mtu amelipwa Mara 3 ya anachouza kwa siku.Hivi Lowassa anapata wapi pesa?
  11. M

    Hatari ya kuwagawanya watanzania kutoka kwa wapiga kampeni wa CCM

    Lakini kweli ukanda nao unafanya kazi.Mi nilitegemea mzee Lembeli angepewa nafasi ya kugombea urais.Mzee huyu chapakazi,mpambanaji dhidi ya ufisadi.Hakupewa nafasi hiyo badala yake akapewa Lowassa kisa tu anatoka kaskazini.Naamini hata Msuya naye anabembelezwa ahamie huko.Au ndiyo Chaga empire...
  12. M

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Nilishasema Lowassa akizidi 31% nisuteni
Back
Top Bottom